Njama Nyuma ya KURA ZA SIRI 30

Njama Nyuma ya KURA ZA SIRI 30

Joined
May 20, 2013
Posts
71
Reaction score
151
Wataalamu wa mambo ya njama 'Consipiracy theoreticians' wanasema hakuna njama inayoweza kuwa siri kwa muda mrefu ikiwahusisha mtu zaidi ya mmoja. Ni njama moja tu ambayo hata wao wanashindwa kuelewa iliwezaje kuwa siri na ikavuka hadi miaka 2000 bila mtu hata mmoja kueleza ukweli wa kilichotokea. Hii ni ile ya kufufuka kwa yesu ambayo iliwahusisha wanafunzi wake ambao walidai yesu kawatokea chumbani, halafu mariamu magdalene ambaye alidai yesu kamtokea kaburini na kuna mwingine alidai yesu alimtokea kisimani. hii habari imewachanganya wataalamu wengi wa theolojia kwa jinsi ilivyodumu.

Ukija kwenye hili la kura zote za siri kuwa za 'ndiyooo' hakuna shaka kuwa haiwezekani kuwa hizo kura zote zilikuwa za ndiyo, ma-gap ni mengi mno, kwanza kama zote hizo zilikuwa za ndio, kwa nini M/kiti Sita alikuwa anahaha kuunda kamati ya majadiliano ili kuwabadilisha wale waliopiga hapana? kama akidi ilishapatikana, juhudi za vimemo vilivyokuwa vinatembea vilikuwa vya nini? Kwa nini kura 30 zilienda kuhesabiwa huko chumbani kukiwa na ma-cadre wa kura za ndio tu bila kushirikisha wale waliopiga za hapana ambao ndio wangeweza kuzilinda kura za hapana?

Vyovyote ilivyokuwa, ukweli wa kura za siri utajulikana muda si mrefu baada ya wachache walinaoujua huo ukweli kuanza kuropoka. Kuropoka ni asili ya mwanadamu si lazima anywe pombe, watu zaidi ya 10 wanajua nini kilitokea, ni kazi sana watu wote 10 ku-withstand pressure ya kutaka kusema ukweli. tena nina wasiwasi huo ukweli anaweza kuusema mtu ambaye tulimtarajia awe wa mwisho kusema 'SITTA'

Si mnamjua Mhe. sana Sitta jinsi alivyo mtu wa 'maslahi'. Siku akiingiliwa maslahi yake, atamwaga ugali hadharani. Mtasikia tu jinsi alivyofanikisha hili zoezi na jinsi ambavyo hajathaminiwa. Sitta sina wasiwasi naye kabisa, najua atasema tu, tusubiri tu michakato ya uraisi ianze, huyu mtu akikosa maslahi anauwezo hadi wa kuanzisha chama kingine kama CCJ, ndio imshinde kusema jinsi alivyozibadilisha kura za 'hapana' kuwa 'ndio', Tusubiri tu.

Lakini akichelewa kusema Sitta najua wengine watasema tu iwe kwa kutafuta umaarufu wa kisiasa au guilty consious.
 
Mkuu siku si nyingi tutaujua tu ukweli wa kura za siri, mwaka huu hauishi lazima baadhi walopiga kura za siri wataropoka tu.
NO SECRET CAN BE HIDDEN FOREVER!
 
Tatizo lilopo hata Ukawa ilikuwa ni michezo ya kuigiza tu. Ukawa ndo wamevuruga Mchakato mzima . Na hii taratibu za kususia vikao bungeni vitamaliza upinzani.Wapinzani gangamalia ukweli acha kudai haki msioijua. CCM ni wakomavu fitina wanazijua ndo maana kati ya ukawa nusu walikuwa CCM
 
Mkuu Heinrich Himmler hilo halina ubishi, kwani kama walikuwa wenyewe tu mjengoni lakini bado vimemo vikavujishwa nje sembuse hayo mazingaumbwe ya kura? It is just a matter of time, let us stay tuned!
 
ndio maana kila uchaguzi ni ushindi wa kishindo.............
 
Najaribu tu kujiuliza, assume hili bunge lenye sura hizo hizo na mwenyekiti huyo huyo na akina ukawa wale wale na mazingira ya uendeshwaji uwe vile vile but change cha venue, lingekua Kenya, hivi wana Kenya au Wakenya wange re-act vipi?
 
Mkuu siku si nyingi tutaujua tu ukweli wa kura za siri, mwaka huu hauishi lazima baadhi walopiga kura za siri wataropoka tu.
NO SECRET CAN BE HIDDEN FOREVER!

Ni mengi tuu tayari yanajulikana kuhusu ubaya wa utawala wa ccm hata hili la kura za siri lipo wazi kwamba zimechakachuliwa, lkn watanzania tunapenda tuu kuyajua na kuyafichua then tunaishia hapo zaidi porojo tuu. Kuishia kujua na kuandamana haisaidii. Wito wangu kwa vyama pinzani ni kuungana 2015 kuwa kitu kimoja kuwaondoa hawa majambazi madarakani vinginevyo tutaishia kulalamika tuu kila cku.
 
nchi utadhani wanaishi mizuka, hata sijui akili za watz zikoje
 
Jamani tujifunze kukubaliana na matokeo, hata kama hayakupendezi, hizi chokochoko hazileti afya katita taifa
 
Kama wanaweza kuingiza twiga kwenye fuso na ndege unafikiri wanashindwa nini? Lolote wanaweza kufanya hao
 
Wataalamu wa mambo ya njama 'Consipiracy theoreticians' wanasema hakuna njama inayoweza kuwa siri kwa muda mrefu ikiwahusisha mtu zaidi ya mmoja. Ni njama moja tu ambayo hata wao wanashindwa kuelewa iliwezaje kuwa siri na ikavuka hadi miaka 2000 bila mtu hata mmoja kueleza ukweli wa kilichotokea. Hii ni ile ya kufufuka kwa yesu ambayo iliwahusisha wanafunzi wake ambao walidai yesu kawatokea chumbani, halafu mariamu magdalene ambaye alidai yesu kamtokea kaburini na kuna mwingine alidai yesu alimtokea kisimani. hii habari imewachanganya wataalamu wengi wa theolojia kwa jinsi ilivyodumu.

You have built your case in a very wrong theoretical framework, it seems your are both against Christianity and CCM, but kulinganisha wizi wa SITTA na ufufuko wa YESU ni jambo baya kabisa ambalo mwanajamii yeyote anaweza kufanya.

I will pray for your forgiveness.
 
kama ccm wanaweza kusema Mwangosi kauwawa na chadema na wakati picha zinawaonyesha waliomuua Mwangozi unategemea lipi litawashanda kusema
 
Tatizo lilopo hata Ukawa ilikuwa ni michezo ya kuigiza tu. Ukawa ndo wamevuruga Mchakato mzima . Na hii taratibu za kususia vikao bungeni vitamaliza upinzani.Wapinzani gangamalia ukweli acha kudai haki msioijua. CCM ni wakomavu fitina wanazijua ndo maana kati ya ukawa nusu walikuwa CCM

hawana ukomavu wowote , ni wezi tu , bila kutumia dola HAWA NI WEPESI KULIKO PAMBA !
 
Wataalamu wa mambo ya njama 'Consipiracy theoreticians' wanasema hakuna njama inayoweza kuwa siri kwa muda mrefu ikiwahusisha mtu zaidi ya mmoja. Ni njama moja tu ambayo hata wao wanashindwa kuelewa iliwezaje kuwa siri na ikavuka hadi miaka 2000 bila mtu hata mmoja kueleza ukweli wa kilichotokea. Hii ni ile ya kufufuka kwa yesu ambayo iliwahusisha wanafunzi wake ambao walidai yesu kawatokea chumbani, halafu mariamu magdalene ambaye alidai yesu kamtokea kaburini na kuna mwingine alidai yesu alimtokea kisimani. hii habari imewachanganya wataalamu wengi wa theolojia kwa jinsi ilivyodumu.

Ukija kwenye hili la kura zote za siri kuwa za 'ndiyooo' hakuna shaka kuwa haiwezekani kuwa hizo kura zote zilikuwa za ndiyo, ma-gap ni mengi mno, kwanza kama zote hizo zilikuwa za ndio, kwa nini M/kiti Sita alikuwa anahaha kuunda kamati ya majadiliano ili kuwabadilisha wale waliopiga hapana? kama akidi ilishapatikana, juhudi za vimemo vilivyokuwa vinatembea vilikuwa vya nini? Kwa nini kura 30 zilienda kuhesabiwa huko chumbani kukiwa na ma-cadre wa kura za ndio tu bila kushirikisha wale waliopiga za hapana ambao ndio wangeweza kuzilinda kura za hapana?

Vyovyote ilivyokuwa, ukweli wa kura za siri utajulikana muda si mrefu baada ya wachache walinaoujua huo ukweli kuanza kuropoka. Kuropoka ni asili ya mwanadamu si lazima anywe pombe, watu zaidi ya 10 wanajua nini kilitokea, ni kazi sana watu wote 10 ku-withstand pressure ya kutaka kusema ukweli. tena nina wasiwasi huo ukweli anaweza kuusema mtu ambaye tulimtarajia awe wa mwisho kusema 'SITTA'

Si mnamjua Mhe. sana Sitta jinsi alivyo mtu wa 'maslahi'. Siku akiingiliwa maslahi yake, atamwaga ugali hadharani. Mtasikia tu jinsi alivyofanikisha hili zoezi na jinsi ambavyo hajathaminiwa. Sitta sina wasiwasi naye kabisa, najua atasema tu, tusubiri tu michakato ya uraisi ianze, huyu mtu akikosa maslahi anauwezo hadi wa kuanzisha chama kingine kama CCJ, ndio imshinde kusema jinsi alivyozibadilisha kura za 'hapana' kuwa 'ndio', Tusubiri tu.

Lakini akichelewa kusema Sitta najua wengine watasema tu iwe kwa kutafuta umaarufu wa kisiasa au guilty consious.

Umemuingizaje Yesu hapo? Boko haram nn ww
 
Ninachoshngaa ni jinsi ccm walivyoshangilia ikiwa wanajua kurt ziliibwa
 
Wataalamu wa mambo ya njama 'Consipiracy theoreticians' wanasema hakuna njama inayoweza kuwa siri kwa muda mrefu ikiwahusisha mtu zaidi ya mmoja. Ni njama moja tu ambayo hata wao wanashindwa kuelewa iliwezaje kuwa siri na ikavuka hadi miaka 2000 bila mtu hata mmoja kueleza ukweli wa kilichotokea. Hii ni ile ya kufufuka kwa yesu ambayo iliwahusisha wanafunzi wake ambao walidai yesu kawatokea chumbani, halafu mariamu magdalene ambaye alidai yesu kamtokea kaburini na kuna mwingine alidai yesu alimtokea kisimani. hii habari imewachanganya wataalamu wengi wa theolojia kwa jinsi ilivyodumu.

You have built your case in a very wrong theoretical framework, it seems your are both against Christianity and CCM, but kulinganisha wizi wa SITTA na ufufuko wa YESU ni jambo baya kabisa ambalo mwanajamii yeyote anaweza kufanya.

I will pray for your forgiveness.

Well, I am not against christianity, thou I'm indeed against any oppressor(ccm et al), I am just a believer of science, anything which doesn't have scientific rationale, you cant convince me.
 
Back
Top Bottom