Wanashida gani mkuu?Unataka kuoa Mmeru?...Hahaha nacheka huku naogopa
Mbona mwatisha watu?Unataka kuoa Mmeru?...Hahaha nacheka huku naogopa
Mbona mwatisha watu?
Ndugu ulipo taja wa kibosho hapo sasa nimeelewa. Hata uwe mwanaume chuma vipi kwa hawa Wanawake wa kibosho hutoboi hakika atakuzika usipo kua makini au zezetaSikutishi...
Nimeishi Arumeru enzi hizo za kupata elimu, hivyo nimekusanua kwa nia njema kabisa, nimeshaona ndoa ambazo kuna wanawake wa kimeru...
Wanawake wa kimeru hawana utofauti sana na Wakikuyu (Kenya), Wamachame, Warombo au Wakibosho...
Kama huwezi vumilia tabia za ki-alpha female basi usioe hayo makabila...
Lakini kama unaweza kuishi kwa utemi utemi, basi oa...
Sawa tunza hii post baada ya miaka kadhaa atakuja kuleta ushahidi wa ndoa kuvunjikaMmh hizi taarifa si sahihi
Mimi nimemwambia hivyo hivyo kajifanya kusema Mimi ni muongo!Sikutishi...
Nimeishi Arumeru enzi hizo za kupata elimu, hivyo nimekusanua kwa nia njema kabisa, nimeshaona ndoa ambazo kuna wanawake wa kimeru...
Wanawake wa kimeru hawana utofauti sana na Wakikuyu (Kenya), Wamachame, Warombo au Wakibosho...
Kama huwezi vumilia tabia za ki-alpha female basi usioe hayo makabila...
Lakini kama unaweza kuishi kwa utemi utemi, basi oa...
Ndugu ulipo taja wa kibosho hapo sasa nimeelewa. Hata uwe mwanaume chuma vipi kwa hawa Wanawake wa kibosho hutoboi hakika atakuzika usipo kua makini au zezeta
Hawa wanawake wa kibosho ni watu wa hasira, visasi, chuki, dharau, tamaa, hawana heshima wala hawasikilizi chochote kile wao wanafata njia zao wenyewe hatakama kuna hatari ya kufa ukimwambia akubali mpaka afe ndiyo atasadiki,
Wanawake wa kibosho wanakiburi sana hata moto wa petrol hauoni ndani, wana malipizo sana ila kimnyakimnya anakuchinja walahi, wakorofi sana alafu wanajificha kwenye mgongo wa kujifanya wacha Mungu.
Mimi kuliko nioe mkibosho bora ni nunue mdoli wa Elon Musk
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
umetiririka vizuri mkuu.... nafuata nyayo zako,ila mimi ntarekebisha uliposhindwa mambo yaende sawa sawiaNiliwahi kua na mpenz Mmeru,...nilichojifunza ni kuwa;
1.Waaminifu(ngumu sana kuchepuka).
2.Wana misimamo hata kama wanachosimamia hakina maana.
3.Sio wepesi kushuka na kuomba msamaha hata kama kakosea anataka wewe ndio ushuke...yuko tayari alie ila sio kuomba msamaha.
4.Wana wivu(halali hata kama ni saa 8 usiku mpk ajue uko wapi na uko sehemu salama)..kaa mbali na michepuko.
5.Wana hasira kali sana(wakikasirika hawaongei,atakaa kimya)
6.Ni warembo sana na wasafi,wanajipenda.
7.Hawana tamaa sana,ukimpa hata kidogo wana shukuru...hawa demand vitu vikubwa.
N.b...nilishindwa tabia ya kutoshuka pale anapokosea,ikabidi kila mtu aendelee na maisha yake....thank you Angel for your time.
Kwanza nikupe Hongera kwa Nia kutaka kuoa,inaonyesha ni kw a Jinsi gani unahitaji kujenga familia na mwezi wakoHabari ndugu zangu..
Mimi kijana wenu sipingi ndoa maana ndoa kwangu ni baraka, hivyo nimekusudia kwa akili zangu timamu kuoa.
Siku kadhaa nilileta kwenu huu uzi kuomba ushauri wa hali na mali napia nashukuruni sana ndugu zangu kwa kunishauri kijana wenu.
Nataka kumuoa huyu binti ila tabia zake zinatetemesha sana
Habari ndugu zangu, Katika kundi la wanawake zangu kadhaa wa kadha nilionao, nimejikuta nimeangukia kumpenda binti anayetokea na kukulia maeneo ya Mlima Meru huku Arusha ndugu zangu. Nipo nae kwenye mahusiano ya wastani lakini nimejikuta moyo unanisukuma sana kumuoa ila nikikumbuka mienendo...www.jamiiforums.com
""( Nataka kumuoa huyu binti ila tabia zake zinatetemesha)""
Kiukweli kwa upande wangu binti nimemuelewa sana na yeye amenielewa sana na pia anajielewa vizuri tuu , tatizo lipo kwenye mawasiliano baina yangu na yeye. Kwani siku zote mimi ndiyo mwanzilishi wa mawasiliano tofauti na hapo hakuna kitu
Kutokana na tabia zake njema na kujisitiri kwake nimefikiria kumuoa ila swala la changamoto ya mawasiliano naona labda ni kwa vile nimempita sana umri kwa takribani miaka kumi (10) ndiyo maana anashindwa kujua cha kuongea na mimi sipati majibu kabisa.
Mtoto nimemuelewa nataka niende nikapeleleze kwao ana kwa ana, mguu kwa mguu kijanja kijanja maana nimekua ni mtu wa kukutana tuu njiani na ndugu zake hivyo nataka niende kwao huko Arumeru niombeeni nifike na kurudi salama kijana wenu.
Naenda kama envoy na pia nita act kama spay chapu kwa chapu. nafikiria kwenda mwenyewe ila document zangu muhimu nitazibeba ili kujilinda likitokea lolote lile maana maboma ya watu siku hizi haya aminiki kabisa kabisa.
Pia binti nime muambia aniwekee security ya kutosha kama ikitokea tafarani .
Wakuu na ndugu zangu naombeni kujua ni nini kingine cha maana cha kuzingatia ndugu zangu ili hali naenda mwenyewe huko kwao Arumeru kupeleleza kwa kuzingatia wameru ni wakorofi sana hasa kaka zao?
Mimi binti yao nimemuelewa sana nataka nimuweke ndani na awe mke wangu halali. Shida ya mawasiliano baina yangu na yeye nataka kuikata kijeshi namna hiyo .
Natanguliza shukrani zenu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
1.Hongera kwa kupevuka Hadi kufikia kuoaHabari ndugu zangu..
Mimi kijana wenu sipingi ndoa maana ndoa kwangu ni baraka, hivyo nimekusudia kwa akili zangu timamu kuoa.
Siku kadhaa nilileta kwenu huu uzi kuomba ushauri wa hali na mali napia nashukuruni sana ndugu zangu kwa kunishauri kijana wenu.
Nataka kumuoa huyu binti ila tabia zake zinatetemesha sana
Habari ndugu zangu, Katika kundi la wanawake zangu kadhaa wa kadha nilionao, nimejikuta nimeangukia kumpenda binti anayetokea na kukulia maeneo ya Mlima Meru huku Arusha ndugu zangu. Nipo nae kwenye mahusiano ya wastani lakini nimejikuta moyo unanisukuma sana kumuoa ila nikikumbuka mienendo...www.jamiiforums.com
""( Nataka kumuoa huyu binti ila tabia zake zinatetemesha)""
Kiukweli kwa upande wangu binti nimemuelewa sana na yeye amenielewa sana na pia anajielewa vizuri tuu , tatizo lipo kwenye mawasiliano baina yangu na yeye. Kwani siku zote mimi ndiyo mwanzilishi wa mawasiliano tofauti na hapo hakuna kitu
Kutokana na tabia zake njema na kujisitiri kwake nimefikiria kumuoa ila swala la changamoto ya mawasiliano naona labda ni kwa vile nimempita sana umri kwa takribani miaka kumi (10) ndiyo maana anashindwa kujua cha kuongea na mimi sipati majibu kabisa.
Mtoto nimemuelewa nataka niende nikapeleleze kwao ana kwa ana, mguu kwa mguu kijanja kijanja maana nimekua ni mtu wa kukutana tuu njiani na ndugu zake hivyo nataka niende kwao huko Arumeru niombeeni nifike na kurudi salama kijana wenu.
Naenda kama envoy na pia nita act kama spay chapu kwa chapu. nafikiria kwenda mwenyewe ila document zangu muhimu nitazibeba ili kujilinda likitokea lolote lile maana maboma ya watu siku hizi haya aminiki kabisa kabisa.
Pia binti nime muambia aniwekee security ya kutosha kama ikitokea tafarani .
Wakuu na ndugu zangu naombeni kujua ni nini kingine cha maana cha kuzingatia ndugu zangu ili hali naenda mwenyewe huko kwao Arumeru kupeleleza kwa kuzingatia wameru ni wakorofi sana hasa kaka zao?
Mimi binti yao nimemuelewa sana nataka nimuweke ndani na awe mke wangu halali. Shida ya mawasiliano baina yangu na yeye nataka kuikata kijeshi namna hiyo .
Natanguliza shukrani zenu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mkuu, mie NAKAZIA hapa.Niliwahi kua na mpenz Mmeru,...nilichojifunza ni kuwa;
1.Waaminifu(ngumu sana kuchepuka).
2.Wana misimamo hata kama wanachosimamia hakina maana.
3.Sio wepesi kushuka na kuomba msamaha hata kama kakosea anataka wewe ndio ushuke...yuko tayari alie ila sio kuomba msamaha.
4.Wana wivu(halali hata kama ni saa 8 usiku mpk ajue uko wapi na uko sehemu salama)..kaa mbali na michepuko.
5.Wana hasira kali sana(wakikasirika hawaongei,atakaa kimya)
6.Ni warembo sana na wasafi,wanajipenda.
7.Hawana tamaa sana,ukimpa hata kidogo wana shukuru...hawa demand vitu vikubwa.
N.b...nilishindwa tabia ya kutoshuka pale anapokosea,ikabidi kila mtu aendelee na maisha yake....thank you Angel for your time.