Niwe upande gani?

Niwe upande gani?

kumuonyesha binti anapokaa rafiki yako anaweza hata pigwa mimba ikatolewa, we muonyeshe kwa wazazi wake bt first mpe namba yake ya simu aongee nae pengine akimsikia atajitokeza mwenyewe
 
yu hv to help and teach ur frnd to be responsible wth the fruits of his actions, by helping that lady
 
Jitose ww mwenyewe kumsaidia huyo dada kama afanyavyo Dr. Mengi kama una mpunga wa kutosha kwani huyo jamaa yako ni njaa nidio inamsumbua tu. Mungu atakubariki sana.
 
Back
Top Bottom