Mawematatu
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 468
- 602
Niende Moja kwa Moja kwenye Hoja.
Baada ya tarehe mbili Mwezi huu Aprili kupewa onyo juu ya bei ya mabando, hawa watu halotel waliweka Gharama walizodai ni za kawaida accordingly kwa wao kuzingatia waliyoiweka ndio bei kabla ya offer. Mh Rais Alivyoendelea kuwaonya HALOTEL walirejea kama zamani, lakini GB inakwisha sekunde tu. Mpaka sasa ukinunua kifurushi hakikatishi kimekatwa. Kwa sasa wao wanakomoa. Jamani anahalieni na huu ni ujnga mkubwa sana na utapeli..
Marekebisho kwenye niwe Makini isomeke Muwe
Hapa MB 9 kuperuzi JF kwa dakika 1
Baada ya tarehe mbili Mwezi huu Aprili kupewa onyo juu ya bei ya mabando, hawa watu halotel waliweka Gharama walizodai ni za kawaida accordingly kwa wao kuzingatia waliyoiweka ndio bei kabla ya offer. Mh Rais Alivyoendelea kuwaonya HALOTEL walirejea kama zamani, lakini GB inakwisha sekunde tu. Mpaka sasa ukinunua kifurushi hakikatishi kimekatwa. Kwa sasa wao wanakomoa. Jamani anahalieni na huu ni ujnga mkubwa sana na utapeli..
Marekebisho kwenye niwe Makini isomeke Muwe
Hapa MB 9 kuperuzi JF kwa dakika 1