Nivute Kwako

Nivute Kwako

MTAZAMO

Platinum Member
Joined
Feb 8, 2011
Posts
20,080
Reaction score
35,252
Wakuu wana JF,

Hii nyimbo nivute kwako ya Diana Nyange ft Barnaba ni nyimbo nyepesi sana kwa masiko ya kawaida! Lakini kimapenzi huu wimbo una kumbukumbu nyingi sana kwa wengi!

Wewe una kumbukumbu gani na huu wimbo? Just be frank, hii ngoma huwa inaliza wengi waliopenda wenzi ambao sasa pengine sio waume/ wake zao. But that's life! Nini una kumbuka?

Tukumbushane tu!
 
Oh mama, mama, mama
I just shot a "man down"
In central station
In front of a big ol' crowd
Rum bum bum rum bum bum bummmmm
-Rihanna
Pole mkuu naona ushakamatika
 
Nilikuwa kigoma kipindi huu wimbo unatamba. Kipindi hiyo kuna binti wa kibembe jirani yangu anajishaua mara yes mara no!
 
Nakumbuka kidemu fulani nilikuwa nakifundisha physics at the same time nakipenda na kilikuwa kinapenda kuimba huu wimbo,nikawa nasema kinaniambia mimi baada ya kuwa domo zege
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom