Niuzie smartphone

Niuzie smartphone

Majigo

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
5,519
Reaction score
1,831
Kuanzia....
2 Ram
13mp camera
Na internal 16
Ikubali Sdcard
Pia isiwe iliyowahi kufunguliwa
Kama iko na hali nzuri sana naongeza hela kidogo

Bajeti laki 1.6

Niko DSM
0718295182
 
Kuanzia....
2 Ram
13mp camera
Na internal 16
Ikubali Sdcard
Pia isiwe iliyowahi kufunguliwa
Kama iko na hali nzuri sana naongeza hela kidogo

Bajeti laki 1.6

Niko DSM
0718295182
Nakupa Tecno camon C9 ambayo Ina camera ya mbele 13MP na camera ya nyuma Pia hivyo hivyo 13MP..... 2Ram, internal 16 GB and SD card support Kwa Bei ya Tsh 220,000
Contact me 0712936073

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nna sh 70 mkononi hapa nahitaj smartphone yeyote yenye hali nzuri chap chap kdg..PM
 
Habari za Asubuhi!!kwa wale wenye simu za vodafone,Alcatel na zte model hizi 1. Smart tab 3g 2. Vfd 200 & 300,301 3. Vf 685,785 & 875 kuna offer kabambe ya kuunlock network unlock code kwa njia ya server gharama yake ni Tsh 7000 kwa bei ya offer inatakiwa imei #,model namba na malipo ya hiyo huduma ndani ya dakika 15 baada ya kupokea malipo unakuwa umepata network unlock codes zako na zinafanya kazi kwa 100%..pia tunatoa huduma za kuunlock network lock za simu,modem na Router za aina mbalimbali kwa bei nafuu..Pia kwa wale wenye uhitaji kuunlock network lock,kuondoa google account lock,kuondo pattern na code,kwa simu za samsung, Huawei, Tecno,Alcatel,magnus bravo,Vodafone,ZTE na n.k Kwa njia ya direct unlock kwa usb/ remotely (unatakiwa uwe na computer,usb cable,chanzo cha mtandao na driver za kifaa chako the rest tunafanya wenyewe inachukua dakika 10-30 inategemeana na speed ya mtandao.(gharama yake inategemeana na Simu na tatizo)
Kumbuka umbali sio limit hiyo kazi inafanyika mahali popote ata ukiwa ulaya
Wasiliana nasi
#Text/call/whatsapp 0712842283
FB Group:Se connecter à Facebook | Facebook
FB Page:https://web.facebook.com/Street-Winner-Computer-solution-2…/
Instagram:Streetwinner Mobileand Computersolution
Pia usiache kulike na kujoin page zetu kutakuwa na mafunzo mbalimbali,punguzo na offer mbalimbali za huduma zetu kwa wateja wetu na pia kutakuwa na utatuzi wa matatizo mbalimbali kwa wale watakaoyaleta..
 
Back
Top Bottom