A Aleyn JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 23,843 Reaction score 42,010 Jan 23, 2017 #1 Habari Wakuu!? Nina haja na Calculator tajwa hapo juu, nimeenda pale DIT wanauza 35,000 na mwisho 30,000. Binafsi kwa sasa sina hiyo pesa. Kama unayo na unaweza ukanisaidia ninaomba tuwasiliane PM.
Habari Wakuu!? Nina haja na Calculator tajwa hapo juu, nimeenda pale DIT wanauza 35,000 na mwisho 30,000. Binafsi kwa sasa sina hiyo pesa. Kama unayo na unaweza ukanisaidia ninaomba tuwasiliane PM.
A Aleyn JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 23,843 Reaction score 42,010 Jan 23, 2017 Thread starter #2 Kimya!
B Bacary Superior JF-Expert Member Joined Jul 3, 2014 Posts 3,721 Reaction score 1,515 Jan 23, 2017 #3 Pure au ya BAM
A Aleyn JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 23,843 Reaction score 42,010 Jan 23, 2017 Thread starter #4 Bacary Superior said: Pure au ya BAM Click to expand... Mkuu hapo umenipiga chenga, mimi nataka niitumie kwa ajili ya mahesabu ya kibiashara chuo.
Bacary Superior said: Pure au ya BAM Click to expand... Mkuu hapo umenipiga chenga, mimi nataka niitumie kwa ajili ya mahesabu ya kibiashara chuo.
Copy JF-Expert Member Joined Oct 10, 2016 Posts 1,072 Reaction score 1,382 Jan 23, 2017 #5 Aleyn said: Mkuu hapo umenipiga chenga, mimi nataka niitumie kwa ajili ya mahesabu ya kibiashara chuo. Click to expand... Kama ni ya biashara, mbona zipo mpk za 25,00/= mkuu! ! Tena ni hapo k'koo. Nenda duka la Nyambari bookshop
Aleyn said: Mkuu hapo umenipiga chenga, mimi nataka niitumie kwa ajili ya mahesabu ya kibiashara chuo. Click to expand... Kama ni ya biashara, mbona zipo mpk za 25,00/= mkuu! ! Tena ni hapo k'koo. Nenda duka la Nyambari bookshop
B Bacary Superior JF-Expert Member Joined Jul 3, 2014 Posts 3,721 Reaction score 1,515 Jan 23, 2017 #6 Aleyn said: Mkuu hapo umenipiga chenga, mimi nataka niitumie kwa ajili ya mahesabu ya kibiashara chuo. Click to expand... Ok kwa BIASHARA unapata kwa elfu 22-25 nyambar au kama utashinda kufika nenda Ifm
Aleyn said: Mkuu hapo umenipiga chenga, mimi nataka niitumie kwa ajili ya mahesabu ya kibiashara chuo. Click to expand... Ok kwa BIASHARA unapata kwa elfu 22-25 nyambar au kama utashinda kufika nenda Ifm
P Pazii JF-Expert Member Joined Feb 17, 2017 Posts 398 Reaction score 296 Mar 9, 2017 #7 Aleyn said: Habari Wakuu!? Nina haja na Calculator tajwa hapo juu, nimeenda pale DIT wanauza 35,000 na mwisho 30,000. Binafsi kwa sasa sina hiyo pesa. Kama unayo na unaweza ukanisaidia ninaomba tuwasiliane PM. Click to expand... Calculator ya box ipo. fx-991 MS. Bei poa kabisa.
Aleyn said: Habari Wakuu!? Nina haja na Calculator tajwa hapo juu, nimeenda pale DIT wanauza 35,000 na mwisho 30,000. Binafsi kwa sasa sina hiyo pesa. Kama unayo na unaweza ukanisaidia ninaomba tuwasiliane PM. Click to expand... Calculator ya box ipo. fx-991 MS. Bei poa kabisa.
Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 20,027 Reaction score 16,149 Mar 9, 2017 #8 Aleyn said: Mkuu hapo umenipiga chenga, mimi nataka niitumie kwa ajili ya mahesabu ya kibiashara chuo. Click to expand... sasa mkuu ya kupigia hesabu tu hadi uhitaji scientific!
Aleyn said: Mkuu hapo umenipiga chenga, mimi nataka niitumie kwa ajili ya mahesabu ya kibiashara chuo. Click to expand... sasa mkuu ya kupigia hesabu tu hadi uhitaji scientific!
P Pazii JF-Expert Member Joined Feb 17, 2017 Posts 398 Reaction score 296 Mar 9, 2017 #9 Poa. Nilijua kwa ajili ya shule.