Michael Ngusa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,637
- 463
Habari zenu,
Natafuta kitanda used cha 5x6, bajeti yangu ni laki na nusu. Pia vitu vidogo vidogo kama feni, mapazia, kapeti na ka TV. Namwanzilishia maisha mdogo wangu katoka bush! Nipigie kwa namba 0653 257566, kwa ufanisi zaidi naomba screenshots kwa Whatsapp pia.
Thanks
Natafuta kitanda used cha 5x6, bajeti yangu ni laki na nusu. Pia vitu vidogo vidogo kama feni, mapazia, kapeti na ka TV. Namwanzilishia maisha mdogo wangu katoka bush! Nipigie kwa namba 0653 257566, kwa ufanisi zaidi naomba screenshots kwa Whatsapp pia.
Thanks