fatu2010
Senior Member
- Mar 4, 2014
- 173
- 143
Habari zenyu wana MMU, nikiwa ndio natoka kujirusha mambo ya TGF, sorry kama ntakosea some sp na grammar unajua tena ukishapata maji ya rangi ya mende kizungu kinapanda tuuu!
Anyway story iko hivii, nikiwa zangu club mara napata msg thru whassup;
"Shost hapa sijalala, nina mawazo sana, kesho tuonane unisaidie kitu yani shemeji yako simuelewi kabisa"
Nikauliza "humuelewi vip na yuko anatafuta maisha ulaya, kwani amesharudi shule?"
Akajibu, "tuonane kesho nahisi kuchanganyikiwa kabisa, anasema anatakiwa kurudi bongo mambo yamekuwa magumu ila kama nikiweza tukubaliane amuoe mzungu kwa kuzuga (ili awe raia) huku mi nivumilie tuu afu aje amuache mzungu wakati akiwa tayari ni raia ndio anichukue mimi"
Nikahisi kama castle zangu zimekuwa deluted kichwani, nikasema ngoja huyu anahitaji succinct advice kutoka humuu!
Ninapolala nawaachia wakuu, hii ishu akubali ili mmewe aoe mzungu kwa mda ama agome mmewe arudi baada ya shule? Nijuavyo toka jamaa aende sio haba shost kabadili hata saloon, high heels shoes, yani catalogue na design sio haba. I'm pretty sure kwenda kwa huyu shem kumewasogeza kidogo kimaendeleo (just imagine akiwa dent tu). Na sasa anamaliza so huenda wakafanya over and above the limit.
Sasa je afanyeje, jamaa aoe kwa kuzuga ama arudi tu na masters yake afundishe?
Ushauri please, abh nikiamka nichuje nianze vip kumpanga huyu mrembo
Anyway story iko hivii, nikiwa zangu club mara napata msg thru whassup;
"Shost hapa sijalala, nina mawazo sana, kesho tuonane unisaidie kitu yani shemeji yako simuelewi kabisa"
Nikauliza "humuelewi vip na yuko anatafuta maisha ulaya, kwani amesharudi shule?"
Akajibu, "tuonane kesho nahisi kuchanganyikiwa kabisa, anasema anatakiwa kurudi bongo mambo yamekuwa magumu ila kama nikiweza tukubaliane amuoe mzungu kwa kuzuga (ili awe raia) huku mi nivumilie tuu afu aje amuache mzungu wakati akiwa tayari ni raia ndio anichukue mimi"
Nikahisi kama castle zangu zimekuwa deluted kichwani, nikasema ngoja huyu anahitaji succinct advice kutoka humuu!
Ninapolala nawaachia wakuu, hii ishu akubali ili mmewe aoe mzungu kwa mda ama agome mmewe arudi baada ya shule? Nijuavyo toka jamaa aende sio haba shost kabadili hata saloon, high heels shoes, yani catalogue na design sio haba. I'm pretty sure kwenda kwa huyu shem kumewasogeza kidogo kimaendeleo (just imagine akiwa dent tu). Na sasa anamaliza so huenda wakafanya over and above the limit.
Sasa je afanyeje, jamaa aoe kwa kuzuga ama arudi tu na masters yake afundishe?
Ushauri please, abh nikiamka nichuje nianze vip kumpanga huyu mrembo