VVU na UKIMWI: Historia yeke, chanzo cha maambukizi, dalili, kinga na juhudi za kupambana na ugonjwa huu

Ivo nitatoa maelezo hapa mengi yatakayojib maswali yako tofauti


NAKUJIBU KAMA IFUATAVYO.

Kipimo ulichotumia ni nia aina ya kipimo ambacho kina uwezo mkubwa 100% wa kutambua maambukiz km unayo.

Ni aina ya kipimo ambacho kinatizama Antibodies yaan wanajeshi walozalishwa na kinga ya mwili kupambana na HIV.

Mtu anapopata maambukizi, huchukua kuanzia wiki 3--6 Wanajeshi hawa kuzaliwa naivyo wanaweza kugundulika. Hata ivo kama
Kinga ya mwili iko chini sana toka zaman, basi utachelewa kuzalisha wanajeshi.
unatumia madawa mfano yakutibu kansa..utachelewa pia.
Kama ulimeza PEP utachelewa pia.
YAAN WANAJESHI WATALAZIMIKA MPAKA MIEZ 3---6 NDO WAWE WENGI KIASI CHA KUGUNDULIKA NA HIVI VIPIMO.

Lkn kama kati ya hayo uko poa Basi ni wiki 3-6 kitu tayari ..


Wewe umepima baada ya Miezi 3 ... Hii inamanisha ni muda ambao kila mwanadam kama amepata maambukizi na yuko vzur atakua keshazalisha hawa wanajeshi ivo atagundulika tu, ndio maana tunasema pima kila baada ya MIEZI MITATU.

Kwa ufupi, majibu baada ya wiki 4--6 hutambua asilimia 95% ya maambukizi... Na miezi 3 100% ya maambukizi.


Kwaiyo wewe kwa miezi 3 niseme hauna HIV...labda km umegongana tena hapo katikati .



Kuhusu uyu Dada.... Kama mmepima, namajibu yako salama basi ujue yuko salama kabisa .


Mwishooo... Dalili haziwezi kutumika kukusaidia wewe kujifanyia vipimo binafsi.


Na nikuambie hii kitu... Ukiwaza kua una HIV alafu ukasoma Hizo habar mitandaoni..HAPO HAPO utakua umeilazimisha akili yako ianze kuzitengeneza Dalili ulizoambiwa.



Dalili za HIV awali, huwa ni zinatokea wiki ya 2-4 baada ya maambukizi.
Zinakaa wiki moja..baadae zinasepaaa..hazirudi tena..zikirudi ujuwe zinarudi kama NGOMA yenyewe.


Naaaaaaaaa , kwa maelezo ulotoa, HAPO SIJAONA DALILI HATA MOJA YA HIV.


DALILI ZA HIV ZINATOKEA NYINGI KWA WAKATI MMOJA , AU KIPINDI KIMOJA.
Nakuelewaga Sana mkuuu.

Naomba kujua...
KIPIMO CHA HIV FIRST RESPONSE RAPID TEST.. KWA UNDANI NAMANISHA WINDOW PERIOD YAKE PAMOJA NA MUDA WAKE WA KUTAMBUA MAAM UKIZI NDANI YA DAMU....

NIMUHIMU SANA
 
Naomba niende moja kwa moja kwenye topic.
Nilidate na mtu mwezi 3 ..baaada ya hapo nikaambiwa ameasilika japo tulipima tukawa sawa wote.

Siku moja nipo na best yangu akawa ananisomea dalili za HIV ndipo hali yangu ili change nikawa na utandu mdomon kama fungus nikajitibu zikapona, baada ya hapo nikawa si uelewi mwili kama malaria vile ni kaenda kupima nikakutwa na malaria 3 na UTI ....nikatibu tena kwa sindano sasa tokea hapo na chemka mgongoni maeneo ya uti wa mgongo mara maeneo ya shingoni au kiunoni na kichwa kinauma Nikaona isiwe tabu nikapima HIV ....nikatumia HIV test ikaniletea mstari mmoja kwa juu.... Ila dalili ni hizo hizo nika rudia tena kupima mstari ni ule ule.

Nikaamua kwenda kwa doctol ili nipate ushauli labda opration ilinizulu nae akaniambia nipime kisukari.. Ndo nadhidi kuchanganyikiwa kabisa.

Je kuna alieugua HIV ana dalili kama hizi zangu au ni metumiwa mapepo.

Kipimo ni hicho hapo .
View attachment 1155529
hicho kipimo sh ngap nitest na mm
 
mkuu hapa utagundua hupimwi virus unapimwa kinga ya mwili
Kuhusu virus kuwa wadogo Lazima electronic microscope hiyo si tu virus Hata bacteria, and some protozoans

Nilichouliza mimi Inasemekana kwamba HIV virus Hamna aliewahi kumwona even using such device. Je ni kweli, if so lete proof mkuu
 
Kama uli-date na Yule mshkaji wa humu ndani, basi kwisha Habari yako.
 
Nakuelewaga Sana mkuuu.

Naomba kujua...
KIPIMO CHA HIV FIRST RESPONSE RAPID TEST.. KWA UNDANI NAMANISHA WINDOW PERIOD YAKE PAMOJA NA MUDA WAKE WA KUTAMBUA MAAM UKIZI NDANI YA DAMU....

NIMUHIMU SANA
Kwa kufuata Guideline ya mlolongo wa upimaji wa HIV kwa kutumia izi Rapid test kutoka wizara ya afya TZ ... Na shirika la Afya.

Window P ya Vipimo hivi ni kuanzia Wiki tatu tu .. Yaan kwakufupi majibu kuanzia wiki ya tatu mpaka mwezi nanus yanakua sahihi kwa 95%.....miezi mitatu 100%

.
 
Je kuna asasi zinasaidia kuwatake care watoto walozaliwa na ukimwi ikiwa ni pamoja na kuwasomesha?
Kwa upande wa serikali hamna taasisi ya hivyo.... Kama kumsomesha na nn.... But zipo hospital za wahisani... NGOs ndogo ndogo zinazosaidia care ndogo ndogo hasa kwa watoto 14 years.... Eg bailor ya wa Marekani
 
Aisee hatari sana.Anatukuwa kawapata wengi.Maana mademu wakiona mzungu tena akiwadanganya atawaoa na kuwapeleka ulaya ndo basi tena.

Nini kuwaoa ile akisema tu anataka kuwazalisha, mademu zetu hao kwa stori za ‘kuzaa na mzungu’ ndo umefika.... lengo wapate shombeshombe wa kupost instagram na ‘matunzo’ wanaita pensheni.
 
Back
Top Bottom