Niulize, Nipongeze, Nikosoe, Nishauri

Unadhani kati ya pulling factors na pushing factors zipi zina nguvu ya kumuingiza mtoto wa kike kwenye biashara ya udadapoa?
 
@nusratt,unajua mwenyewe nilichokwambia kule pm na unajua ulichonijibu,ila mpaka sasa sijaona call au sms yako,unamaanisha nini?
Unajua mitandao hii isitufanye kwenda kinyume na maadili ya Kitanzania.
Usipende kugawa namba zako za simu kwa mtu mwenye profile na Id ya kike.
Kuna wabaya na wema.

Nakutafuta
 
Ndio,
Nina miaka 32,
Ninaishi mkoa wa Dar es Salaam,
Kabila langu ni Mdigo,
Niliolewa hapo awali, ila nimeachika,
Hapana, sikubahatika kupata mtoto mpaka sasa
Kila la kheri shemej....

Atleast sasa nakujua .

Ushauri:-
Ukipata mwanaume anaeeleweka hata kama ni muwe wa mtu, zaa nae.
Mtoto anakuja na baraka zake.
 
Nuzu ulikuwa unajisell? 😹😹
 
Kila la kheri shemej....

Atleast sasa nakujua .

Ushauri:-
Ukipata mwanaume anaeeleweka hata kama ni muwe wa mtu, zaa nae.
Mtoto anakuja na baraka zake.
Sitaweza kuja kuzaa kwa maana nilipata shida kwenye kizazi, hivo ikapelekea kutolewa.
Siwezi na ndio sababu inayofanya wanaume wengi kuachana na mimi baada ya kuwapa ukweli huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…