jamaa kajitafutia shida huyu alifikiri atapata maswali mepesi hii inaonyesha hata kura watu ndivyo wanavyopigaga kwamba wengi hawaipendi CCM ila inashinda kibabe
Serikali ya ccm inashangaza sana….Hiyo pole haikuonekana wkt wa uvamizi wa majeshi ya serikali pale clouds....mbona hakuwahi hata kukemea? mbona tume iliundwa kuchunguza aliyeunda tume akatumbuliwa?....HUU UNAFIKI HUU CJUI KWA KWELI\