Mkuu tupeane idea unatumia engine ganiMimi ni omary faniyangu ni game development kwa sasa nimesha tenzeneza game nyingi likiwepo ujiji race hivi karibuni nitali upload on playstore sasa niulize jinsi ya kutengeneza game
Mi pia nimeanza kula somo la kutengeneza game natumi unity3dMkuu tupeane idea unatumia engine gani
Lakin apk umeshaitengeneza?Nimesema mkuu kuwa hivi karibuni nitai upload nasubiri kufungua account ggoogle playstore
NdioLakin apk umeshaitengeneza?
Karibu kama ukikwama nitafute namba yyangu ni 0718553004Nilikuwa nadevelop games kwa kutumia blender engine lakini haina vitu vingi nimeamua kwa sasa nigeukie jmonkey engine, unreal na unity games engine.
OkTengeneza Group ya WhatsApp
Sasa nitie kama attachment kwenye email yang community.hoopla@gmail.com niifanyie beta testingNdio
Mkuu tutengenezen group la whatsappNilikuwa nadevelop games kwa kutumia blender engine lakini haina vitu vingi nimeamua kwa sasa nigeukie jmonkey engine, unreal na unity games engine.
mkuu, kuna uwezekano wa ku reverse engineer app kwa kutumia hizo engine?Unreal na unity 3d niulize wapi ulipo kwama kama upo kigoma nitafute kwani nimesomea hizi engine ninaujuzi kkuhusu game
mkuu, kuna uwezekano wa ku reverse engineer app kwa kutumia hizo engine?
kama una source code unaweza...mkuu, kuna uwezekano wa ku reverse engineer app kwa kutumia hizo engine?
apktool inaweza kukupa source code, app ina login page na IAP, nikizi disable na inatakiwa kuwa online kuzitumia, developer hataweza kujua na kuiblock?kama una source code unaweza...