Jenseny
JF-Expert Member
- Jan 26, 2011
- 1,743
- 1,733
ukiwa na kama mil2 huwezi kufanya biashara ya madini yaani kuuzana kununua?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza ,inategemea na madini gani unanunua na kuuza ,mengine yanahitaji pesa nyingi mengine kidogoukiwa na kama mil2 huwezi kufanya biashara ya madini yaani kuuzana kununua?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unaidea kuhusu uchimbaji wa dhahabu Ihumwa DodomaUnaweza ,inategemea na madini gani unanunua na kuuza ,mengine yanahitaji pesa nyingi mengine kidogo
Heri wakuu...poleeni na mihangaiko...mimi ni kijana mjiolojia na nna uzoefu wa uchimbaji mdogo wa madini ya dhahabu na vito vya thamani yaani gemstone...ningependa tupeane ushauri na kama kuna wakuu wengine wanajua hasa hii kazi mnakaribishwa,nakaribisha maswali ya kitaalam(expertise) na yale ya kawaida karibu
Kwanini wachimbaji wadogo, hawapendi kuwaajiri wasomi eg. Geologist
Hata kama kwa kujitolea kuwasaidia hawataki kabisa.
Kuna njia ngapi mnazotumia wachimbaji wadogo kuchambua dhahabu kwenye udongo au mawe?
Nikihitaji kwenda kupiga kazi kwenye hizo migodi midogo inabidi nitumie technique gani niweze kupiga pesa?
Private geologist
Unacheza number zote?.Njoo mkuu andamana nami
hahahaUnacheza number zote?.
Manengero bwana. Mbona umebadiri avati ya kidevu cha shemeji yetu?hahaha
Manengero bwana. Mbona umebadiri avati ya kidevu cha shemeji yetu?
kuna mwadada alikua anaumia balaa..nikamsaidia niitoe..hahaha wapenda ndevu sio mm tu
Duh. Mimi nakumendea njinsi figure yako ninayoiona sasa. Sijui utanisaidiaje?
Hahahah.Sio mm huyy mkuu...nimeiona smwhr
Nitumie PM ili nione figure yako ogHahahah.
Uze dhahabu au jewerlies kam jewrlies sawa ila dhahabu , ckuiz kila kweny madini kuna soko la hayo madini hairuhusiw kuuzia dhahabu(madini) nje ya hilo soko otherwise uwe na vibal vya usuper dealer vya kuuza dhahab nje ya nchi ambapo pia iyo dhahbu lazma ipimwe apo kweny hlo soko na kuwekewa serialnumber na commision wa kanda..vngnevyo ukikutwa na dhahbu ambayo haina hvyo vbal utapewa kes ya utoroshwaj wa madiniNAtaka nifanyaje biashara ya dhahabu kununua Chunya kuuza mbaya mjini.natakiwa nifanyaje na je gram moja kwa Chunya bei na Mbeya bei gani?na natakiwa niwe na vibali gani
Possibleukiwa na kama mil2 huwezi kufanya biashara ya madini yaani kuuzana kununua?
Sent using Jamii Forums mobile app