Mada yako bwana kifupi sana sana usilo lijua nikwamba...
Wewe ni movie halisi.
Na mastermind wa muvi yenyewe ndio hao wasio onekana.kwamatabaka yao wapo wengi sana,kuna mungu,miungu,aliens,mizimu n..k..
Nakila mtu yupo katika koo moja wapo yahizo..tatizo kubwa walio wengi hatujui,hawajui koo zao vizuri...hivo kujikuta hawana msaada wowote ule dhidi ya mashambulizi kutoka katika koo zingine.
Nilazima utambue ukoo wako vizuri ili uungane nao.