OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 5,139
- 12,912
- Thread starter
-
- #101
Kama unaamini hivyo basi hakuna tatizoYANI MISUKULE KWAKO NI WATU WALIO FUFUKA AU UNAMAANISHA NINI
KAMA UNAZUNGUMZIA MISUKULE INAYOPOTEZWA KIMAZINGIRA MNADHANI MNAZIKA MTU KUMBE NI MGOMBA WA NDIZI BASI NGOJA NIKUACHE KIDOGO MKUU
Mizimu ina jinsia?Habari wakuu,
Nipo bariadi gamboshi masomoni nachukua digrii ya uchawi wenye faida.
Mizimu ni roho za watu waliokufa.
Kila mtu ana mizimu. Mizimu ya upande wa kwa baba na ya upande wa kwa mama (mababu na mabibi wote waliokufa)
Mizimu ipo mizuri na mizimu mibaya
Kuna aina zaidi ya >200 za mizimu.
Kama una swali lolote kuhusu mizimu kisayansi au kiroho niulize nitakujibu
Ahsante
NdioMizimu ina jinsia?
Hilo ni aganoJe mizimu inaweza kukupa mali? Mfano huyo mtu alikua na mali sasa akazificha mahali maeneo ya kwake na alizizindika kiutalaamu na mganga! Na kwenye ile mali alinuia ije imkute mtoto wake hata kama yeye ameondoka.
Sasa imepita takriban 24 years mtoto wa kike kashakua mkubwa na kapata mtu kumuowa na katika pita pita kwa wataalamu yule mtu na mtoto wakaambiwa wamekutanishwa na mizimu na imewafungisha ndoa na inataka kuwapa mali.
Na huyo kijana kuna siku alipata ndoto ya kuijiwa na baba wa mke wake akaambiwa maneno na baba yupo vile vile japo hajawahi kumwona... na ile mali haijawahi kutolewa mpaka leo wengi walihangaika wameshindwa na anaweza kufa mtu pale wakifanya masihara na ile mali. Na wataalamu wanasema ile mali haiwezi toka pasipo yule mtoto kipenzi cha baba.
Hii scenario unaweza elezea vipi?
Naomba ufafanuzi zaidi.Hilo ni agano
Inaweza zaliana?Ndio
Mizimu sio viumbe ni roho, mizimu haiwezi kuzaliana.Inaweza zaliana?
Hapo kafanya mambo ya kiganga (kitaalamu)Naomba ufafanuzi zaidi.
mimi sio Mkristo mimi ni Muislam na wazee wote wamesha fariki Ninao mzimu wa kichawi unaniliazimisha niwe mchawi lakini sitaki unaniharibia kila kitu na mpaka maradhi unanitia nitakuja huko Gamboshi nipambane nao mzimu wa kichawi.Nipate kuutoa usinifuate tena .Mizimu ya kichawi isikie tu kwa watu ni hatari sana yaana ni full package inavuruga kila kitu kuanzia nyota, kazi, ndoa mwili mpaka biashara na maradhi juu
Kujinasua nenda kanisani au watafute wazee wako wa ukoo
Wewe ni mkongwe hapa jukwaani unafahamika kwenye ekimu ya kiroho uoande wa tiba asili sidhani kama hilo tatizo hujui pa kulimalizamimi sio Mkristo mimi ni Muislam na wazee wote wamesha fariki Ninao mzimu wa kichawi unaniliazimisha niwe mchawi lakini sitaki unaniharibia kila kitu na mpaka maradhi unanitia nitakuja huko Gamboshi nipambane nao mzimu wa kichawi.Nipate kuutoa usinifuate tena .
Okay!Hapo kafanya mambo ya kiganga (kitaalamu)
Kwanza tambua kuwa MUNGU ana huruma sana na viumbe wake kuliko hasira/ghadhabu zake.Huyo Mungu kwa nini anamuacha ibilisi aite watu wafanye mabaya badala ya kumwangamiza?
Ibilisi kupewa muda mrefu kuishi hapa duniani, Sio tiketi ya yeye kutumia kuwaita binadamu wafanye mabaya.
Huyo Mungu kwa nini ampe ibilisi maisha marefu duniani ilhali alijua ibilisi huyo atatumia muda huo kuita watu wafanye mabaya?
Mungu mnayedai ni mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Anakupa mtihani ili ajue nini?
Ina maana huyo Mungu wakati anakuumba alikuwa hajui utafanya matendo gani mpaka akupime kwa kukupa mtihani?
Kama huyo Mungu ni mjuzi wa vyote tangu mwanzo na hata milele, Anakupima kwa kukupa mtihani ili nini?
Wakati tayari alijua na anajua matendo yako tangu mwanzo na hata milele.
Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?
Kama huyo Mungu hapangiwi na yeyote, Kwa nini hapendi uovu na mabaya ilihali yeye ndiye muumbaji wa kila kitu?
Kama hapendi uovu na mabaya, Alishindwaje kuumba dunia isiyo na uovu wala mabaya?
Huyo Mungu, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu wasio na uwezo wa kutenda mabaya?
Kwa nini huyo Mungu aumbe Dunia yenye uovu na binadamu wenye uwezo wa kutenda mabaya, Halafu aje alalamike kwamba kwa nini hatutendi mema?
Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?
Hujui unachokiongea...Mizimu ni sawa na majini!Mizimu ina nguvu kubwa kuliko majini ina uwezo wa kuishi hadi miaka elf sita.
Mizimu ni viongozi kama DC,RPC,RC.
Kazi yao kuu ni kusimamia ukoo, kabila,taifa,nchi,bara,nk ktk serikali ya shetani mizimu haitaki watu wawe na maendeleo wakiwa na maendeleo wataacha kuiabudu.
Majini sio mizimuHujui unachokiongea...Mizimu ni sawa na majini!
Unamaanisha takataka
NaamUnamaanisha takataka
Mizimu Ina nguvu gani Kwa maisha ya watu walio hai?Habari wakuu,
Nipo bariadi gamboshi masomoni nachukua digrii ya uchawi wenye faida.
Mizimu ni roho za watu waliokufa.
Kila mtu ana mizimu. Mizimu ya upande wa kwa baba na ya upande wa kwa mama (mababu na mabibi wote waliokufa)
Mizimu ipo mizuri na mizimu mibaya
Kuna aina zaidi ya >200 za mizimu.
Kama una swali lolote kuhusu mizimu kisayansi au kiroho niulize nitakujibu
Ahsante