Niulize chochote kuhusu kisiwa cha Pemba

Niulize chochote kuhusu kisiwa cha Pemba

Waunguja na wapemba wana utofauti wowote hasa kwa muonekano? Natolea mfano kama wahutu na watutsi wa rwanda physically au kwa macho tu unaweza kuwatofautisha. Kama upo ni upi?
 
Hujui lolote kuhusu pemba wala unguja, maana mswali yote hautoi majibu Bali na wewe unabaki kuuliza.
nna wasiwasi hata lafudhi ya kipemba huna, acha kutuibia kiingilio, maswali yameisha.
 
1. Muungano hamuutaki, na wafanya biashara wengi wakubwa wako bara wanaendesha shughuli zao, je endapo muungano ukifunjwa uko radhi mrudi kwenu pemba na mali zenu zote?

2. Kwann ni NGUMU sana kwa mtu wa bara kumiliki ardhi visiwani, je ni upungufu wa ardhi hiyo au ni ukiritimba tu wa wapemba?
 
Tangu uhuru mmetawaliwa na waunguja. Safari hii ccm imewachagulia mpemba mwenzenu. Je ameleta badiliko lolote au nae anawalazimisha muuze karafuu kwa bei ya kkutupa ili akaiuze kwa bei mbaya ulaya ?
 
Umaskin wa wapemb umesababishwa na sirikali iliyopo madarakan wakiamini
kuwa pemba ni wapinzani, fuatilia karafuu zao zinafanywaje, tafautisha
baina ya kuza sana na kuzaa ovyo ukishatafautisha jiulize kwa nini
hakuna chokoraa wa kipemba popote pale duniani?, c kweli shen anakuja
sana tu pemb ata
ramadhan alikua anaftarisha.Imani za kishirikina dunia nzima zipo lakin
wapemb hatuchonan moto wala kuuwana kudhaniana wachawi wala hatuuwi
walemav kwa kutaka utajiri. Mfanyakaz yoyote yule anapenda aish karib na ofisi yake so ndio hao viongoz kutoka pemb wanaish karib na ofis zao.
Umejibu vyema mkuu nipo Tibirinzi lakini majibu yako yamenisisimua sana,
Umejibu haki tupu.
 
Kwanini wapemba mnakula popo (bat)?? Na kwanini mnapenda kuvaa open shoes aka sandals sana ???
 
Jamaa (Wapemba) Mna roho mbaya kweli kweli...ndg yangu mtu wa huku bara anafanya kazi huko week iliyopita amekuja kutueleza masaibu yanayompata huko hakika nusura nitoe machozi mwanaume...ni mengi sn lakini mengine ni vituko maana aweza kulala usiku akiamka asubuhi anakuta nje Kuna makimba ya watu wazima na mengine yamepakazwa ukutani....dah nyie jamaa kweli mna roho za kutu sn kwa watu wa bara
 
Jamaa (Wapemba) Mna roho mbaya kweli kweli...ndg yangu mtu wa huku bara anafanya kazi huko week iliyopita amekuja kutueleza masaibu yanayompata huko hakika nusura nitoe machozi mwanaume...ni mengi sn lakini mengine ni vituko maana aweza kulala usiku akiamka asubuhi anakuta nje Kuna makimba ya watu wazima na mengine yamepakazwa ukutani....dah nyie jamaa kweli mna roho za kutu sn kwa watu wa bara

Kafanyiwa na nyumba ngap tukio hilo? Isije ikawa alichikoza? Ohooo wapemba wakimya na wana roho nzur sana na iman ila ukichokoza lazima uadabishwe nyambaf!
 
Inakuwaje mwanamke wa kipemba anaolewa muda si mrefu anachika kwa talaka, kisha anapata mchumba mpya na kumwambia yeye ni bikra, je ndoa iliyotangulia iliendeshwaje?
 
Nasikia Pemba mnataka kujitenga na Unguja ni kweli???
 
Nasikia Pemba 0713 ni mali kuliko K.
Mpemba atahonga hata laki kwa tigo lkn voda atatoa alfu.
 
Nasikia Pemba mnataka kujitenga na Unguja ni kweli???

Hawana pumzi ya kujitenga hata wangependa. Hawana uwezo hata wwa kuchagua rais wao. Rais wao anateuliwa ugogoni wao ni kupiga makofi na kukenua meno. Pemba ni tarafa ndani ya mkoa wa Zanzibar
 
Kwanini wapemba mna ubaguzi hasa kwa Watanzania wenzenu wa Tanganyika?
 
Back
Top Bottom