Niulize chochote kuhusu kisiwa cha Pemba

Niulize chochote kuhusu kisiwa cha Pemba

Turufuu

Senior Member
Joined
Dec 27, 2013
Posts
182
Reaction score
54
ASSALAMU ALAYQUM, YAAMANITTABAAL-ULLAA,

Kwa yeyote mwenye suwali kuhusu kisiwa chenye marash ya karafuu (PEMBA) na wapemba, naomba aniuleze, nitamjibu kadri ya uwezo wangu.
Najua kuna mengi yanasemwa kuhusu Wapemb na kisiwa chao ki2kufu mengine ni mazuri mengine mabaya kwa uhakika naombeni muniulize kupitia uzi huu. kuna misemo mingi ya kejeli wanayoambiwa wapemba kwa mfano " Mpemba ku2 la ng'ombe" "mpemba haoneshwi paja"

Pemba perema ukenda na joho utarudi na kilema, ili mradi ni kashfa kebeh zidi ya wapemb na kisiwa chao. Eb yeyote aliekushafika Pemba na atwambie zile sifa mbaya zinazo pakazwa kuhusu wapemba ni kweli?Mimi ni mpemba fyoko makaburi ya babu zangu na bibi zangu yote yapo pemba, kwanza najiringia UISLAMU WANGU, pili NAJIRINGIA UPEMBA WANGU.
 
hii misemo ina maana gani

" Mpemba ku2 la ng'ombe" "mpemba haoneshwi paja"
Pemba perema ukenda na joho utarudi na kilema
 
Mpemba mmoja mdebwedo ni

#turufu
harafu wake zenu nasikia mna wala nyuma sana
Miongoni mwa kejeli wanayofanyiwa wapemba ni km hili suali lako, Mi mdobwedo umeniona wapi, suali la pili ni la udaku na lakipuuzi, hata km yuko uyo anaefanya huwo upuzi bc hawez kuwaakilisha wapemb wote cous dini ye2 hairuhusu.
 
ASSALAMU

ALAYQUM, YAAMANITTABAAL-ULLAA, Kwa yeyote mwenye suwali kuhusu kisiwa
chenye marash ya karafuu (PEMBA) na wapemba, naomba aniuleze, nitamjibu
kadri ya uwezo wangu. najua kuna mengi yanasemwa kuhusu Wapemb na kisiwa
chao ki2kufu mengine ni mazuri mengine mabaya kwa uhakika naombeni
muniulize kupitia uzi huu. kuna misemo mingi ya kejeli wanayoambiwa
wapemba kwa mfano " Mpemba ku2 la ng'ombe" "mpemba haoneshwi paja"
Pemba perema ukenda na joho utarudi na kilema, ili mradi ni kashfa kebeh
zidi ya wapemb na kisiwa chao. Eb yeyote aliekushafika Pemba na atwambie zile sifa mbaya zinazo pakazwa kuhusu wapemba ni kweli?Mimi ni mpemba fyoko makaburi ya babu zangu na bibi zangu yote yapo pemba, kwanza najiringia UISLAMU WANGU, pili NAJIRINGIA UPEMBA WANGU.

Nasikia wapemba kama ilivyo waarabu wanapenda sana mapenzi ya kinyume na maumbile.. Je ni kweli na kwanini
 
duuu, hii kali kweli kweli. mnajitia niulize, niulize sasa maswali ndo hayoooo!!!!! unang'a ng'aa sharubu la nini? kila mtu sasa niulize niulize na mimi muda si mrefu nitasema niulize swali lolote kuhusu Toronto Canada!!!! tunasubir majibu mkuu hili tuulize mengine
 
hii misemo ina maana gani

" Mpemba ku2 la ng'ombe" "mpemba haoneshwi paja"
Pemba perema ukenda na joho utarudi na kilema

Eti wanamfananisha mpemb na ku2 la ng'ombe kwa sababu ku2 la ng'ombe linakauka juu tu lakin ndan linakua bich, mpemb haoneshwi paja, angalia ukimuzia mpemba kiwanja nusu tu atataka umuzie chote na bd wataitana kijij kizima.
 
Eti wanamfananisha mpemb na ku2 la ng'ombe kwa sababu ku2 la ng'ombe linakauka juu tu lakin ndan linakua bich, mpemb haoneshwi paja, angalia ukimuzia mpemba kiwanja nusu tu atataka umuzie chote na bd wataitana kijij kizima.

shukrani na hii je

Pemba perema ukenda na joho utarudi na kilema
 
Je ni kwa nini asilimia kubwa ya maeneo ya Pemba watu wake wanaishi katika lindi kubwa la umaskini?

Je ni kwa nini viongozi wengi wanaopata nafasi za juu za uongozi huwa hawana desturi ya kwenda au kuishi Pemba?

Je kuna ukweli kuwa tangu Shein achaguliwe kuwa raisi hajawahi kufanya ziara kisiwani pemba? Kama amefanya je ni lini?

Je ni kwa nini Wapemba wengi wanahusishwa na vitendo vya kishirikina?

Je ni kwa nini wapenda wanakuwa wanazaa sana? Yaani mtu anakuwa na idadi kubwa ya watoto bila kufuata mpangilio mzuri wa uzazi. Why?
 
Nasikia wapemba kama
ilivyo waarabu wanapenda sana mapenzi ya kinyume na maumbile.. Je ni
kweli na kwanini

Ili suali nilishalijib, lakin kwa vile umeliuliza kiustaarab acha nikujibu , kwa kweli wapemb wanachukiwa sana na sirikali yako ya ccm hivo ukitaka kumuuwa paka na usionekane mkrofi kwanza mpe paka yule jina baya. Ndivo wanavofanya wasiowapenda wapemba, hata km wako hao wanaofanya huwo upuzi hawawezi ku2wakilisha wapemb sote couse ata dini ye2 hairuhusu.
 
ni kweli uchawi wa pemba ni mabusha wanafanyaje
mpaka yanakuwa mabusha.

Kwanini mnapenda kula sana urojo kuliko hata sala 5
 
Mnapenda muundo gani wa Muungano na nchi yetu ya Tanganyika iliyovaa koti la Muungano na kuitwa Tanzania?
 
Je ni kwa nini asilimia
kubwa ya maeneo ya Pemba watu wake wanaishi katika lindi kubwa la
umaskini?

Je ni kwa nini viongozi wengi wanaopata nafasi za juu za uongozi huwa
hawana desturi ya kwenda au kuishi Pemba?

Je kuna ukweli kuwa tangu Shein achaguliwe kuwa raisi hajawahi kufanya
ziara kisiwani pemba? Kama amefanya je ni lini?

Je ni kwa nini Wapemba wengi wanahusishwa na vitendo vya kishirikina?

Je ni kwa nini wapenda wanakuwa wanazaa sana? Yaani mtu anakuwa na idadi
kubwa ya watoto bila kufuata mpangilio mzuri wa uzazi. Why?

Umaskin wa wapemb umesababishwa na sirikali iliyopo madarakan wakiamini
kuwa pemba ni wapinzani, fuatilia karafuu zao zinafanywaje, tafautisha
baina ya kuza sana na kuzaa ovyo ukishatafautisha jiulize kwa nini
hakuna chokoraa wa kipemba popote pale duniani?, c kweli shen anakuja
sana tu pemb ata
ramadhan alikua anaftarisha.Imani za kishirikina dunia nzima zipo lakin
wapemb hatuchonan moto wala kuuwana kudhaniana wachawi wala hatuuwi
walemav kwa kutaka utajiri. Mfanyakaz yoyote yule anapenda aish karib na ofisi yake so ndio hao viongoz kutoka pemb wanaish karib na ofis zao.
 
Umaskin wa wapemb umesababishwa na sirikali iliyopo madarakan wakiamini
kuwa pemba ni wapinzani, fuatilia karafuu zao zinafanywaje, tafautisha
baina ya kuza sana na kuzaa ovyo ukishatafautisha jiulize kwa nini
hakuna chokoraa wa kipemba popote pale duniani?, c kweli shen anakuja
sana tu pemb ata
ramadhan alikua anaftarisha.Imani za kishirikina dunia nzima zipo lakin
wapemb hatuchonan moto wala kuuwana kudhaniana wachawi wala hatuuwi
walemav kwa kutaka utajiri. Mfanyakaz yoyote yule anapenda aish karib na ofisi yake so ndio hao viongoz kutoka pemb wanaish karib na ofis zao.

Jifunze kuandika kwa ufasaha ili iwe rahisi kueleweka. Mpangilio wa maswali niliyokuuliza ni mzuri lakini wewe umejibu katika mpangilio mbaya usioeleweka. .
 
Jifunze kuandika kwa
ufasaha ili iwe rahisi kueleweka. Mpangilio wa maswali niliyokuuliza ni
mzuri lakini wewe umejibu katika mpangilio mbaya usioeleweka. .

Nimejarib sana kutaka nikujib kwa mpangilio lakin natumia cm ndogo tu hivo inakataa, hivo nataka uniwie radhi lakin km kuna sehem hujaelewa nambie. Samaha km nimekukwaza.
 
Mnapenda

muundo gani wa
Muungano na nchi yetu ya Tanganyika iliyovaa koti la Muungano na kuitwa
Tanzania?

Tunataka sana mungano lakin tunataka mungano wa haki mkubwa kumuhishi
mdogo kwa udogo wake na mdogo kumuheshimu mkubwa kwa ukubwa wake,
likishafanyika hili ata mungano wa robo serekali cc tunautaka , c o
mungano hu wa kishenz shenz wizara ya micho c wizara ya mungan lakin ZFA
ipo chin ya TFF hivo ZFA inakosa meno ata yakuwahukumu wachezaji wake
wanapokosea kumbuka sakata la akina Kanavaro walipogawana pesa kienyeji
enyeji kwenye chalenj Z.F.A wakawafungia lakin wakambiwa km hawana haki ya kuwafungia, lakin hili wameshalisahau CCM kwa ajili ya nja zao akina muakilish wa Raha leo jazira aliejitukana mwenyewe kweny BLK.kwa mungan hu watanganyika hamna nia njema na wazanzibar ndio tukaona bora tu uvunjike kila m2 afe na chake.
 
Back
Top Bottom