Kyenju JF-Expert Member Jun 16, 2012 4,621 1,706 Jul 3, 2012 #1 Habari wadau hasa wale walioko ktk medani ya IT, ebwana nataka kufungua net cafe lakini bado sijapata ISP kwa maana wengi wanazingua. Kama unamfahamu provider nzuri hasa kwenye price na speed niambie.
Habari wadau hasa wale walioko ktk medani ya IT, ebwana nataka kufungua net cafe lakini bado sijapata ISP kwa maana wengi wanazingua. Kama unamfahamu provider nzuri hasa kwenye price na speed niambie.