Nitoe kizani BAVICHA

nzom

Senior Member
Nov 6, 2010
180
31
Shalom wana jamvi kamwe dunia itabaki na vijana tutaandika historia leo hii serikali imestisha ajila yangu kissa kwangu nina bendera ya ukombozi ya cdm na kua naandesha migomo toka nikiwa udsm mpaka sasa je ni haki.
Zaidi ya yote chama changu kilitangaza juu ya chaguzi wa bavicha trh 28 ila mpaka sasa sijui nimi kinaendelea vijana tumaini let na nguvu ya mabadiliko hata vijana wa kale wanamini hivyo naamini uongozi wa juu uliotutukuka utatupa taarifa muafaka juu ya wagombea na taratibu husika na kuangalia changamoto nia na madhumuni ni jahazi hili lifike sala hata kama ni kwa nguvu ya damu naamini itakua hivyo daima freedom is never voluntary given by the oppressor
 
Nadhani Ben ameku-thanks so atakusaidia kukujibu. Bila shaka yeye ni mmoja wa watu wanaoweza kuwa na majibu mazuri ya swali lako.
 
Shalom wana jamvi kamwe dunia itabaki na vijana tutaandika historia leo hii serikali imestisha ajila yangu kissa kwangu nina bendera ya ukombozi ya cdm na kua naandesha migomo toka nikiwa udsm mpaka sasa je ni haki.
Zaidi ya yote chama changu kilitangaza juu ya chaguzi wa bavicha trh 28 ila mpaka sasa sijui nimi kinaendelea vijana tumaini let na nguvu ya mabadiliko hata vijana wa kale wanamini hivyo naamini uongozi wa juu uliotutukuka utatupa taarifa muafaka juu ya wagombea na taratibu husika na kuangalia changamoto nia na madhumuni ni jahazi hili lifike sala hata kama ni kwa nguvu ya damu naamini itakua hivyo daima freedom is never voluntary given by the oppressor

Pole sana kamanda.Tafadhali kuhusu nini kinachoendelea gonga hapa https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-ya-wagombea-hawa-wa-bavicha-chadema-taifa-28
 
Back
Top Bottom