Nitawezaje kutengeneza website bila kutumia code ?

Nitawezaje kutengeneza website bila kutumia code ?

mzanzibara-

Senior Member
Joined
Feb 3, 2014
Posts
179
Reaction score
59
Naomba msaada, programs zipi za kutengeneza websites bila kutumia html, naomba msaada
 
Unaweza tumia wordpress CMS, Ni rahisi kwa beginner. Drag drop umemaliza. Unaweza tengeneza simple sites bila ujuzi wa html wala php
 
Naomba msaada, programs zipi za kutengeneza websites bila kutumia html, naomba msaada

Kama ni Dynamic website lazima upige code(html, php,css au ajax)
Ila kama ni static inawezekana, tafuta software inaitwa Xara Web designer, ni drag and drop tu hamna code hata moja ya html utakayoingiza.
 
Anamaanisha kwamba anataka atengeneza website bila yeye kuingiza au kutumia code za html.

Oooops, kumbe anamaanisha drag and drop, watu siku hizi hawataki kuumiza vichwa na ndo maana watu wanashindwa kuwa creative na innovative, hata ukiangalia hawa wanaotengeneza hizi programe za drag and drop wameumiza vichwa lakini wengine hawaulizi ni kwa nini
 
Oooops, kumbe anamaanisha drag and drop, watu siku hizi hawataki kuumiza vichwa na ndo maana watu wanashindwa kuwa creative na innovative, hata ukiangalia hawa wanaotengeneza hizi programe za drag and drop wameumiza vichwa lakini wengine hawaulizi ni kwa nini

Upo sahihi mkuu,ila time is critical resource so no need of hustling while it is there already.

Mleta uzi kuna open source Content management systems nyingi tu ambazo unaweza kuzitumia bila kuandika mistari(codes),japo kama alivyosema mkuu hapo juu ni vema ujue php au asp.net ili uweze kudevelop specific features ambazo hizi content management systems zinaweza zisiwe nazo.Lakini pia security wise unakuwa less vulnerable cause it's only u who knows the directory arrangements and settings of ur website unlike CMS sites which everyone knows since they are open source

Most popular Content Managament systems ni
Joomla: this is my favorite,I find it easy to understand

Wordpress: this is the second easy according to my opinion

Drupal: I found it difficult to understand

Hizo zina ready made templates designs,features known as widgets,modules and components.U just install them.
 
Upo sahihi mkuu,ila time is critical resource so no need of hustling while it is there already.

Mleta uzi kuna open source Content management systems nyingi tu ambazo unaweza kuzitumia bila kuandika mistari(codes),japo kama alivyosema mkuu hapo juu ni vema ujue php au asp.net ili uweze kudevelop specific features ambazo hizi content management systems zinaweza zisiwe nazo.Lakini pia security wise unakuwa less vulnerable cause it's only u who knows the directory arrangements and settings of ur website unlike CMS sites which everyone knows since they are open source

Most popular Content Managament systems ni
Joomla: this is my favorite,I find it easy to understand

Wordpress: this is the second easy according to my opinion

Drupal: I found it difficult to understand

Hizo zina ready made templates designs,features known as widgets,modules and components.U just install them.

Ndo maana nikasema watu hawataki kuumiza kichwa wanataka kutafuniwa tu, kama huyu bwana anakwepa html ambayo ni simple, je atawezaje kutengeneza dynamic website kwa kutumia asp au php na siku hizi ili website yako ipendeze au imeet user requirement inahitajika iwe ni dynamic
 
Ndo maana nikasema watu hawataki kuumiza kichwa wanataka kutafuniwa tu, kama huyu bwana anakwepa html ambayo ni simple, je atawezaje kutengeneza dynamic website kwa kutumia asp au php na siku hizi ili website yako ipendeze au imeet user requirement inahitajika iwe ni dynamic

Mimi i always code my sites from scratch na sijawah pata tatizo.... Hizi drag and drop nyingi ndo zinaongiza kwa kuingiliwa kwa kutuma vitu vidogo vidogo kama mysql injections sema watu huwa ni wavivu
 
Naomba msaada, programs zipi za kutengeneza websites bila kutumia html, naomba msaada

Kama nimekuelewa vizuri, ulikuwa unamaanisha kutengeneza website bila kuwa na expertise za kufanya coding. Maana hamna website inayotengenezwa bila coding.

Unaweza ku download open source CMS ambazo zina plugins/modules na templates/themes
- Drupal
- Wordpress
- Joomla

Hizo ndio major cms ninazo zifahamu, ila utaangalia ni ipi utakuwa comfortable kufanya nayo kazi
 
Oooops, kumbe anamaanisha drag and drop, watu siku hizi hawataki kuumiza vichwa na ndo maana watu wanashindwa kuwa creative na innovative, hata ukiangalia hawa wanaotengeneza hizi programe za drag and drop wameumiza vichwa lakini wengine hawaulizi ni kwa nini

Kuumizwa kwao vichwa hakuwezi kukuzuia wewe kuitumia so long as ni tool ipo kukusaidia lazima uitumie
Mfano,siwezi sema eti ntafanya Hesabu ya 2/96500 wakati calculator ipo na naruhusiwa kuitumia
siwezi kuanza kusema eti walotengeneza calculator waliumiza vichwa...Infact siwezi ji compare na hao watu hata kidogo maana mm niko ka mm na wao wako kama wao tena group la watu
 
Kuumizwa kwao vichwa hakuwezi kukuzuia wewe kuitumia so long as ni tool ipo kukusaidia lazima uitumie
Mfano,siwezi sema eti ntafanya Hesabu ya 2/96500 wakati calculator ipo na naruhusiwa kuitumia
siwezi kuanza kusema eti walotengeneza calculator waliumiza vichwa...Infact siwezi ji compare na hao watu hata kidogo maana mm niko ka mm na wao wako kama wao tena group la watu

Mkuu huoni kwamba hapa tunapoteza watu ambao labda kwa njia moja au nyingine wangekuwa innovative and creative, Kwa njia hii tunaweza kuwa na developers kweli!!? Huoni kuwa hizi script kids zinafubaza vipaji vya watu ambao baadae wangetegemewa kuwa experts kwenye programming!!? Ni maoni tu
 
Kama ni Dynamic website lazima upige code(html, php,css au ajax)
Ila kama ni static inawezekana, tafuta software inaitwa Xara Web designer, ni drag and drop tu hamna code hata moja ya html utakayoingiza.

naomba tofauti ya dynamic na static website
 
the only solution ya ku design website bila coding ni kwa kutumia WYSIWYG . ukisha export project yako katika html hapo ku edit ndio utatumia html editor KOMPOZER. dreamweaver na frontpage inazingua
 
naomba tofauti ya dynamic na static website

dynamic website.. visitor can interact with the website kwa mfano unaweza kufanya online reservation/booking au uka upload file au uka comment au kuanzisha topic kama ikiwa ni forum.

static website... haina interaction zaidi ya ku navigate the website.
 
Back
Top Bottom