Nitawezaje kutambua kipaji changu?

Nitawezaje kutambua kipaji changu?

kesho kutwa

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2016
Posts
1,722
Reaction score
1,993
Najua kunyoa bila kufundishwa na mtu Yan kutumia mashine, nafanya biashara za kupiga picha wateja wanapenda kazi yangu, nafuga kuku pamoja na ngurue, wanaenda vizuri, napenda kujumua vitu mjini nakuja uza vijijin kutatua8 shiida za raia biashara Safi, pia nikiwa darasani watoto wanakubali Sana kazi yangu mwaka huu nimetunukiwa bahasha nono kwa kutoa A katika somo langu..nipo private

Najua humu wapo Wana saikolojia sahihi napenda nifanye Moja wapo kwa viwango vya juu zaidi Kati ya hizi kipi hasa kipaji changu? Au nikomae na vyote salon nilisitisha kidogo kwa Sasa
 
Kwa maisha ya sasa, kua na vyanzo vingi vya vipato ni jambo zuri zaidi ili siku watu wakiamua kua marastafali we unaingiza hela kwenye kuku na mayai.

Cha kufanya, anza kumoja kimoja. Mfano, anza na ufugaji wa kuku na unamuweka kijana anakua anasimamia shoo wewe unakua unacheki tu ata mara moja kwa siku kuona kama mambo yanaenda kama unavotaka.

Pia, kunyoa unaweza kua unafanya weekend.
 
Kwa maisha ya sasa, kua na vyanzo vingi vya vipato ni jambo zuri zaidi ili siku watu wakiamua kua marastafali we unaingiza hela kwenye kuku na mayai.

Cha kufanya, anza kumoja kimoja. Mfano, anza na ufugaji wa kuku na unamuweka kijana anakua anasimamia shoo wewe unakua unacheki tu ata mara moja kwa siku kuona kama mambo yanaenda kama unavotaka.

Pia, kunyoa unaweza kua unafanya weekend.
Mkuu kufuga nafuga kama kawaida kama nilivyojieleza hapo juu Asante kwa ushauri wako
 
Kipaji unaweza usiwe nacho, acha ujinga, piga kazi kwa bidii na akili, utafanikiwa, kipaji majaliwa..

Hard Work Beats Talent, i guarantee you...!!
 
Najua kunyoa bila kufundishwa na mtu Yan kutumia mashine, nafanya biashara za kupiga picha wateja wanapenda kazi yangu, nafuga kuku pamoja na ngurue, wanaenda vizuri, napenda kujumua vitu mjini nakuja uza vijijin kutatua8 shiida za raia biashara Safi, pia nikiwa darasani watoto wanakubali Sana kazi yangu mwaka huu nimetunukiwa bahasha nono kwa kutoa A katika somo langu..nipo private

Najua humu wapo Wana saikolojia sahihi napenda nifanye Moja wapo kwa viwango vya juu zaidi Kati ya hizi kipi hasa kipaji changu? Au nikomae na vyote salon nilisitisha kidogo kwa Sasa
Sasa kama Mwalimu hujitambua unafudishaga ujinga gani huko shuleni? Hii ina shida kila kona.
 
Najua kunyoa bila kufundishwa na mtu Yan kutumia mashine, nafanya biashara za kupiga picha wateja wanapenda kazi yangu, nafuga kuku pamoja na ngurue, wanaenda vizuri, napenda kujumua vitu mjini nakuja uza vijijin kutatua8 shiida za raia biashara Safi, pia nikiwa darasani watoto wanakubali Sana kazi yangu mwaka huu nimetunukiwa bahasha nono kwa kutoa A katika somo langu..nipo private

Najua humu wapo Wana saikolojia sahihi napenda nifanye Moja wapo kwa viwango vya juu zaidi Kati ya hizi kipi hasa kipaji changu? Au nikomae na vyote salon nilisitisha kidogo kwa Sasa
Kama mwalimu hujui kipaji chako je hao wanafunzi unaowafundisha utaibua vipi na kuviendekeza vioaji vyao.
 
Kasome mada inaitwa "Gifted and Talents".
Nikuulize swali, wewe ni mwalimu wa ngazi gani na umesoma chuo gani?
 
Wewe ni entrepreneur endelea kupambana hicho ndio kipaji chako.
Ujasiliamali sio kipaji ni taaaluma na uzoefu.
Robert green, Kiwasoki, Napolean Hill hawajaeleza kuwa ujasiliamali ni kipaji bali wamesema ni passion ni skills, behavior, knowkedge, nk.
Kufuga kuku sio kipaji bali ni ujuzi na passion.
 
Najua kunyoa bila kufundishwa na mtu Yan kutumia mashine, nafanya biashara za kupiga picha wateja wanapenda kazi yangu, nafuga kuku pamoja na ngurue, wanaenda vizuri, napenda kujumua vitu mjini nakuja uza vijijin kutatua8 shiida za raia biashara Safi, pia nikiwa darasani watoto wanakubali Sana kazi yangu mwaka huu nimetunukiwa bahasha nono kwa kutoa A katika somo langu..nipo private

Najua humu wapo Wana saikolojia sahihi napenda nifanye Moja wapo kwa viwango vya juu zaidi Kati ya hizi kipi hasa kipaji changu? Au nikomae na vyote salon nilisitisha kidogo kwa Sasa
Vuta bangi nyingi kipaji kitaonekana automatically

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sauti inayotoka moyoni mwako ndio kipaji chako. Anza sasa kuifuatilia sauti hiyo
 
Back
Top Bottom