habari wadau
nina simu ya yangu ya htc desire ni yazamani kidogo ina android 2.2.2 sasa nilikuwa nahitaji niweze kuiupgrade kwenda android 3.3
Tatizo linakuja kila nikijaribu kuiconnect simu kwenye pc simu haionekani kwenye Htc SYNC.
na ukitaka kuiupgrade simu lazima kwanza isome kwenye htc sync.
kama kuna mtu anaujuzi wa hii kitu anisaidie niweze ku connect simu na htc sync
hizo htc za zamani rom ndio software, yani ukidownload rom unairun inajiflash. sema kuwa makini sana kui brick ni dakika 1 tu unabakia na kopo. model yake ni ipi?
hizo htc za zamani rom ndio software, yani ukidownload rom unairun inajiflash. sema kuwa makini sana kui brick ni dakika 1 tu unabakia na kopo. model yake ni ipi?
hizo htc za zamani rom ndio software, yani ukidownload rom unairun inajiflash. sema kuwa makini sana kui brick ni dakika 1 tu unabakia na kopo. model yake ni ipi?