Nitawapa wapi mashine ya kufyatua tofali za udongo?

Nitawapa wapi mashine ya kufyatua tofali za udongo?

philipo.co

Member
Joined
Oct 6, 2015
Posts
53
Reaction score
6
Ndugu zangu naombeni mwenye kufahamu zinapopatikana mashine za kufyatulia tofali za udongo ambazo huchomwa.

Nimeambatisha picha, ni vyema zaidi nikafahamu na bei ya mashine yenyewe.

Shukrani

IMG_20191229_104846_0.jpeg
IMG_20191229_104429_0.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wanaitwa temso wanapatikana sido ya dar niliwaona sabasaba walikua nazo ila wanatengeneza kwa oda
 
Back
Top Bottom