Nitawamiss nyote

Ulivyosema unataka kujitoa humu si kudhani kama ni mapema hivi. Bila shaka umetafakari kwa kina na kuamua kujitoa ili ukabiliane vizuri na majukumu yako. Wengi humu tulishaanza kukuzoea kwa michango yako mizuri iliyoenda shule na yenye hekima na busara. Nakutakia kila la heri na baraka kwenye majukumu yako.
Shukran sana mkuu BAK
 
31 Reactions
Reply
Back
Top Bottom