Nitatumia solar na betri Gani?

Nitatumia solar na betri Gani?

Superpower

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2018
Posts
826
Reaction score
921
Wakuu nahitaji kujua nice nitatumia solar ya watt ngapi? Na betri la AH/N ngapi? Ili niweze kuwasha taa mbili na kucharge simu mbili zenye jumla ya mAh 6000 kila siku hata kipindi cha kifuku.

Naomba kujua na bei
 
Sijajua sehemu ulipo. Maana hapo bado kuna vifaa vingine lazima ununue. Kama utahitaji kubadili DC kwenda AC itabidi ununue inverter, pia kuna charger control
Charger controller muhimu sana kwa maisha ya battery zake. Kwakua amesema anataka kuwasha taa mbili na kuchaji simu..hakikisha unanunua taa za sola 12v halafu na chaja ya simu ya 12v hapo utaepuka kununua inventer.
 
Basi nunua tu solar panel na betri na charger controller pamoja na vitu chanja zako za dc. Ikikupendeza ufanye wiring kabsa ya Solar ili uwe unachomeka tu kwenye switch ukutani.
SAWA MKuu nashukuru Kwa msaada ila bei ndio si jajua bado ila kama una bei za dsm unaweza nitajia maana Kuna sehemu huku kwetu huwa bei zinatofautiana kidogo na za dsm
 
Solar battery 300Ah nzuri inayokaa na chaji muda mrefu napata wapi na kwa bei gan
 
Back
Top Bottom