Edsger wybe Dijkstra
JF-Expert Member
- Aug 22, 2019
- 244
- 491
Habari za muda huu wadau,
Katika pita pita zangu Instagram na social network sites zingine nimegundua Bongo humu humu kuna watu wana pesa chafu wanakula le maishaz! Sasa na mm nimechoka kuishi maisha ya kubangaiza na kufanya biashara ambazo hazina potential ya kutengeneza utajiri.
Wadau naombeni ushauri na experience zenu nitatue matatatzo gani in terms of kuanzisha biashara, matatizo ambayo yatani-catapult nipate utajiri.
Na mimi nataka nile maisha aseee.
Katika pita pita zangu Instagram na social network sites zingine nimegundua Bongo humu humu kuna watu wana pesa chafu wanakula le maishaz! Sasa na mm nimechoka kuishi maisha ya kubangaiza na kufanya biashara ambazo hazina potential ya kutengeneza utajiri.
Wadau naombeni ushauri na experience zenu nitatue matatatzo gani in terms of kuanzisha biashara, matatizo ambayo yatani-catapult nipate utajiri.
Na mimi nataka nile maisha aseee.