Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,089
- 13,305
Ikabidi niingie hasara tu kugharamiana hiyo michepuko mliifanyaje sasa?
Ikabidi niingie hasara tu kugharamiana hiyo michepuko mliifanyaje sasa?
Haaahaaa
Pitia njia za panya,au wamezungusha ukuta kijiji chote
Mkuu hii siyo riwaya ambayo imeacha 'ombwe' ili hadhira ijazie nyamanyama?
Maana wasukuma tunawajua kwa 'kuzungushia' neno!
Mtu anatumia nafsi ya tatu kukusengenya na kukunanga ukiwa umekaa naye hapohapo na usimuelewe!
Sent using Jamii Forums mobile app