Ronn M
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 1,279
- 683
JF hakika imekuwa ni sehemu muhimu kwangu! Habari, burudani nk nk! Waliofanya watu wasitumie ID za ukweli
wameongeza sana uhuru wa watu humu. Hata hivyo kuna watu kadhaa nikigundua kuwa hawapo kama nilivyotarajia
nitashangaa!
Kwa mfano nitashangaa siku nikigundua Erickb52 naye anafanya kazi kwenye genge la kina Mwema na Kova wakati
Bishanga ni OCS wa Buguruni!
Nitashangaa siku nikigundua Preta na charminglady ni weusi kama ndugu zetu wa sudani ya kusini wakati Erotica ni mwanaume receptionist wa lodge moja hapa dar!
Nitashangaa kukutana na BADILI TABIA na Kongosho kwenye daladala ya gongo la mboto wanamwomba konda awapunguzi 50/=
Halafu kubwa zaidi nitashangaa kama kwa muda mrefu nimekuwa nachangia post za watoto wa secondary humu ndani!
Wewe je?
wameongeza sana uhuru wa watu humu. Hata hivyo kuna watu kadhaa nikigundua kuwa hawapo kama nilivyotarajia
nitashangaa!
Kwa mfano nitashangaa siku nikigundua Erickb52 naye anafanya kazi kwenye genge la kina Mwema na Kova wakati
Bishanga ni OCS wa Buguruni!
Nitashangaa siku nikigundua Preta na charminglady ni weusi kama ndugu zetu wa sudani ya kusini wakati Erotica ni mwanaume receptionist wa lodge moja hapa dar!
Nitashangaa kukutana na BADILI TABIA na Kongosho kwenye daladala ya gongo la mboto wanamwomba konda awapunguzi 50/=
Halafu kubwa zaidi nitashangaa kama kwa muda mrefu nimekuwa nachangia post za watoto wa secondary humu ndani!
Wewe je?
Last edited by a moderator: