uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 14,657
- 26,392
Si kweli kila Mtanzania akiamua Kuacha 'Anasa' au Matumizi ya 'Kipuuzi' na yasiyo ya lazima kuwa na Bima ( hasa ya Afya ) inawezekana. Tujitathmini na tubadilike tafadhali.
Unajua maana ya kila Mtanzania? Nimehamia Mbezi beach, juzi napita karibu na Bahari nakuta familia inaishi kwenye open space yenye gerage ya parking isiyo na milango, wanapika kwa kuni!
Sasa ni starehe gani hawa wanaacha wawe na Bima!? Wasomi wa hii nchi wana mapepo sijui! Nime kaa na huyo Mama na kuongea naye na watoto wake nikaumia sana sana!
Kuna watu (wengi sana) wana shida za kutupa kwenye hii nchi, ukivuka upande wa pili anapokaa huyu Mama there are huge, beautiful, massive Houses na magari ya Kifahari!