Kwanza Karibu sana JF!
Back to the topic.Je, hukuwahi mjullsha Pincipal wako kuwa utachelewa kidogo kwaajili ya kusaka KARO? Kama hukufanya hivyo, ULIKOSEA. Lakini pia je, mpaka sasa umejaribu wailiana nae ili ujue HATIMA YAKO au umeona uanzie kwanza hapa JF? Je, Join Instructon inasema nini juu ya issue kama yako?
Anyway, Wasiiana nae sasa hivi ili ujue aima yako