Nitapata wapi Tractor la kukodisha?

Nitapata wapi Tractor la kukodisha?

Zero Hours

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2011
Posts
12,942
Reaction score
18,691
Nipo mwanza ninahitaji kutengeneza shamba la kama heka 3. Ningependa kulima kwa tractor. Wadau nisaidie hapa Mwanza maeneo ya Nyegezi tractor nitapataje?
 
Naona hakuna watu, jaribu kuuliza hukohuko
 
Mwanza mbali Trekta kwa idadi ya hekari zako ipo Dar Es Salaam, pia yawezekana wewe si mzaliwa hekari 3 unatafuta Trekta
 
Nenda KISESA pale kuna wakulima wengi unaweza kupata tractor, kuna Mzee mmoja anamashine ya kusaga anaitwa doma huyo ni mkulima mzuri na tractor anazo
 
Nenda KISESA pale kuna wakulima wengi unaweza kupata tractor, kuna Mzee mmoja anamashine ya kusaga anaitwa doma huyo ni mkulima mzuri na tractor anazo
Mkuu nashukuru ngoja niende uko asubuh.
 
Mwanza mbali Trekta kwa idadi ya hekari zako ipo Dar Es Salaam, pia yawezekana wewe si mzaliwa hekari 3 unatafuta Trekta
Huku watu hwawezi kulima unaweza kusumbuana nao bure ni bora kutafta tractor mkamalizana sikuhiyoiyo.
 
Back
Top Bottom