nyamva
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 240
- 150
Wadau kama kichwa kilivyofafanua, nahitaji daktari mbobevu wa mifupa, kwa kifupi nina mwanangu alianguka kama mwaka hivi akaumia mguu, baadaye mguu ulivimba sana, baada ya kusinyaa kwa kutumia tiba za jadi mguu ulipona, Ila baada ya kupona mguu huo umekuwa mfupi yaani mwanangu anatembea kwa kuchechemea.
Hali hii imekuwa ikiniumiza sana hasa ikizingatiwa alizaliwa akiwa normal. Mwanangu Ana miaka 9 tu. Kifupi nahitaji uchunguzi ikiwezekana tiba ipatikane kwa gharama yoyote iwe kwa bima ama cash.
Hali hii imekuwa ikiniumiza sana hasa ikizingatiwa alizaliwa akiwa normal. Mwanangu Ana miaka 9 tu. Kifupi nahitaji uchunguzi ikiwezekana tiba ipatikane kwa gharama yoyote iwe kwa bima ama cash.