Nimepata tatizo la kuungua power supply wa TV yangu LG (FLatscreen) nimepeleka kwa mafundi kama 4 wote wameshindwa. Je kuna mtu anafahamu wapi naweza pata mafundi wazoefu ? Kwenye maduka ya LG nimewaomba ikashindikana kwani sikununua hii TV hapa Tz kwenye maduka yao.
Nami pia nina tatizo upandev wa TV yangu kwani upande wa kulia chini rangi zimekuwa "distorted" zinaiingiliana hivi inakuwa kam upinde wa mvua je hilo tatizo lina suluhisho?
Alkelokas;9463429]Tatzo mi nko Iringa.[/QUOTE] je ni nini cha kufanya ? kuna uwezekano wa kutengeneza power supply nyingine ama hadi nitafute aina hii hii ?
Nami pia nina tatizo upandev wa TV yangu kwani upande wa kulia chini rangi zimekuwa "distorted" zinaiingiliana hivi inakuwa kam upinde wa mvua je hilo tatizo lina suluhisho?
Jaribu kutafuta sumaku kisha washa tv na pitisha Sumaku sehemu yenye huo upinde kwa kupeleka juu au chini kulingana na umbali utaokua karibu kwa kuliondoa hilo tatizo, hakikisha kua tv inapokaa hakuna sumaku karibu maana huasababisha hiyo hali.
Jaribu kutafuta sumaku kisha washa tv na pitisha Sumaku sehemu yenye huo upinde kwa kupeleka juu au chini kulingana na umbali utaokua karibu kwa kuliondoa hilo tatizo, hakikisha kua tv inapokaa hakuna sumaku karibu maana huasababisha hiyo hali.