Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,920
- 4,242
hapo kwenye RED ndo wanafanyaje? ni kwamba unamwomba tu Bwana akuletee nyumbani au unamwomba Bwana huku unatafuta akuonyeshe yupi ni bora kwako?
haya maandiko wakati mwingine tunayazungumza bila kuyaelewa.
All the best BIREGU, katika tafuta yako mwombe na Mungu akufunulie
Imani Imani Imani..... well!Nimekupata vema FP nilichokiandika nakielewa ukimuomba Bwana yeye ndo atakuongoza namna ya kumpata mkeo au mmeo ndiyo unaweza funuliwa katika maono,unaweza kutana na mkaka/mdada ukasikia sauti ya Roho mt. akisema huyu ndo mkeo/mmeo,mnaweza kuwa marafiki wa kawaida bila kumega mkate baadaye Bwana anawathibitishia kuwa ninyinyi ni mke na mme,ila haya ni mambo ya ndani sana ya kiimani wengi wanaweza pinga kwa sababu mambo haya yanahitaji utakatifu na uongozi wa Roho mt. hayo tu kwa machache.kama mambo ya kiimani yamekupita kushoto pole ila jipe moyo.
Thank you!Yani haya maandiko kila mtu anajipindishia kwake..Utafikiri imeandikwa mke mwema utampata kanisani kwa kakobe au kwa mtume na nabii..Hao wanaenda kanisani haohao wapo hapa Jf..
BIREGU tulia na kila baraka iwe nawe umpate wa kufanana nawe popote pale Mungu atakapokukutanisha nae
Imani Imani Imani..... well!
naomba nisiseme kitu kuhusu Imani
Mke mwema anatoka kwa bwana sio jf. Ila jf yaweza kuwa njia ya kukutanisha nae,,,akili kumkichwa. Mwenye masikio na asikie
Nimekupata vema FP nilichokiandika nakielewa ukimuomba Bwana yeye ndo atakuongoza namna ya kumpata mkeo au mmeo ndiyo unaweza funuliwa katika maono,unaweza kutana na mkaka/mdada ukasikia sauti ya Roho mt. akisema huyu ndo mkeo/mmeo,mnaweza kuwa marafiki wa kawaida bila kumega mkate baadaye Bwana anawathibitishia kuwa ninyinyi ni mke na mme,ila haya ni mambo ya ndani sana ya kiimani wengi wanaweza pinga kwa sababu mambo haya yanahitaji utakatifu na uongozi wa Roho mt. hayo tu kwa machache.kama mambo ya kiimani yamekupita kushoto pole ila jipe moyo.
sasa si umuombee akupate wewe si umesema mpo.pole sana bireguMbona wake wema tupo hata hapa weye!!!!!!
BIREGU pole sana kwa kumpoteza mpendwa wako, nakuombea umpate mke na awe mwema!!!!!
ya kuku au ya nguruwepoa......leo nina hamu na makange.......
sasa si umuombee akupate wewe si umesema mpo.pole sana biregu
hata waliookoka ni wachache sana wanaweza kuisikia sauti ya roho mtakatifu kwa kiwango hicho na kumtii..ndio maana mtume paulo alionya kuhus viwango vya imani katika kanisa na kusema wale wenye imani kubwa wasidharau wenye imani ndogo na kila mtu atende kwa kadri ya imani yake..lakn huwezi kumhukumu mtu eti sio wa mungu kama imani yake ni haba. Na kwa dizaini hii ndio maana kufunuliwa fake kwa wachumba kumezidi makanisani na ndoa zao ni ndoano vilevile bora hata ndoa za mataifa zina furaha na upendo
Nimekuwa na mpenzi wangu kisha kuwa wachumba kwa muda wa miaka 7 wakati tupo kwenye mchakato wa ndoa alifariki ghafla kwa ajari,niliskitika sana na ilinichukua muda kufikilia kuoa,sasa ni mwaka wa tatu tangu kifo chake.Roho kiasi imetulia natafuta mke mwema wa kuoa.
Awe mcha Mungu Mkristo
awe anajua kuchanganua mambo-msomi kiasi kuanzia diploma na kuendelea
Awe mpenda maendeleo.
mwenyenia hiyo aweza kujitokeza tuanze mchakato wa maisha ya pamoja kama tukiridhiana.
naamini ataweka pengine mungu atamfunulia weweNangoja aweke CV yake!!!!!
naamini ataweka pengine mungu atamfunulia wewe
Nimekupata vema FP nilichokiandika nakielewa ukimuomba Bwana yeye ndo atakuongoza namna ya kumpata mkeo au mmeo ndiyo unaweza funuliwa katika maono,unaweza kutana na mkaka/mdada ukasikia sauti ya Roho mt. akisema huyu ndo mkeo/mmeo,mnaweza kuwa marafiki wa kawaida bila kumega mkate baadaye Bwana anawathibitishia kuwa ninyinyi ni mke na mme,ila haya ni mambo ya ndani sana ya kiimani wengi wanaweza pinga kwa sababu mambo haya yanahitaji utakatifu na uongozi wa Roho mt. hayo tu kwa machache.kama mambo ya kiimani yamekupita kushoto pole ila jipe moyo.
Poule, hop utapata, zidisha sala........last week si ulitoa tena tangazo, hukupata??Nimekuwa na mpenzi wangu kisha kuwa wachumba kwa muda wa miaka 7 wakati tupo kwenye mchakato wa ndoa alifariki ghafla kwa ajari,niliskitika sana na ilinichukua muda kufikilia kuoa,sasa ni mwaka wa tatu tangu kifo chake.Roho kiasi imetulia natafuta mke mwema wa kuoa.
Awe mcha Mungu Mkristo
awe anajua kuchanganua mambo-msomi kiasi kuanzia diploma na kuendelea
Awe mpenda maendeleo.
mwenyenia hiyo aweza kujitokeza tuanze mchakato wa maisha ya pamoja kama tukiridhiana.
Mke mwema anatoka kwa bwana sio jf. Ila jf yaweza kuwa njia ya kukutanisha nae,,,akili kumkichwa. Mwenye masikio na asikie
...........a u serious!if yes ni PMNimekuwa na mpenzi wangu kisha kuwa wachumba kwa muda wa miaka 7 wakati tupo kwenye mchakato wa ndoa alifariki ghafla kwa ajari,niliskitika sana na ilinichukua muda kufikilia kuoa,sasa ni mwaka wa tatu tangu kifo chake.Roho kiasi imetulia natafuta mke mwema wa kuoa.
Awe mcha Mungu Mkristo
awe anajua kuchanganua mambo-msomi kiasi kuanzia diploma na kuendelea
Awe mpenda maendeleo
mwenyenia hiyo aweza kujitokeza tuanze mchakato wa maisha ya pamoja kama tukiridhiana.