Nitapata chuo cha udsm

Unaweza kupata hiyo "FAKART YA BARCH OFART WITH EDUCATION" ila Degree programme ya Bachelor of Arts with Education sahau.... you can't be serious... Kweli matunda ya shule za kata yameanza kuonekana.

hahahahaha uwiiiii mbavu zanguuuuu mieee!
 
N hv wanaotakiwa UDSM BA.ed_1600
walioomba 4000
Eligible_1400
Kati ya hizo eligible walioaply Ba.ed kama first choice n 746 nazani ka zitabakia hv ilvo atapata nafasi udsm 100% au mnaonaje wakuu
msimtishe kihivo jamani.inategemeana kwa kila mwaka matokeo yakoje.matokeo yakiwa yakawaida basi anaweza compete.watu mwakajana mbona wamepata baadhi.unaweza kuta wewe wa tano kwa mwisho umebahatika.un
 
Back
Top Bottom