Kama ni kosa walifanya watu Vunjo ni kuchagua Lyatonga Mrema aka mzee wa kiraracha. Mzee huyu ni balaa tupu hamna cha maana anachofanya bungeni zaidi ya kubwabwaja tuu akijifanya mpinzani kumbe hamna kitu. Namwambia akae mkao wa kutoka na watu wa vunjo tusirudie kosa tena huyu ni kibaraka wa CCM.
Kama ni kosa walifanya watu Vunjo ni kuchagua Lyatonga Mrema aka mzee wa kiraracha. Mzee huyu ni balaa tupu hamna cha maana anachofanya bungeni zaidi ya kubwabwaja tuu akijifanya mpinzani kumbe hamna kitu. Namwambia akae mkao wa kutoka na watu wa vunjo tusirudie kosa tena huyu ni kibaraka wa CCM.
Wakuu huku Iramba mashariki moto niliouwasha hauzimiki milele! 2015 mtaniona nimejaa mjengoni tele nikiwa na hoja za wanyonge. Kila mtu kwa nafasi yake awe catalyst ktk kufanikisha ukombozi wa kweli.
Aisee parefu hapo, 2915 - 2011 = 903, ingekuwa zamani miaka ya kwenye biblia basi tungefika, lakini miaka 903, dah! kweli atakuwa hoi, mimi na wewe pia tutakuwa hoi!!
Hahahhahh hiyo picha imenifurahisha sana. Alisema hawabebi zege bungeni. Du akikurupuka hapo, atagonga meza au aombe mafao yake ya cheo alichokuwa nacho cha Waziri mkuu msaidizi.
hapo wajiandae na uchaguzi mdogo tu hakuna mbunge hapo bana..2015 mbali mnooooo...huyu si ndo alisema mheshimiwa mwenyezi mungu naomba utupe katiba mpya
Do sasa Rev serikali haina hela hizi chaguzi ndogo zitakuaje? Igunga ilikuwa noma pesa nyingi ilitumika sasa kuna Arumeru Mashariki na hayo majimbo mengine katiba lazima ibadilishwe.