englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,209
<button class="modal-btn modal-close js-close" type="button">Close </button>
ilikuwaje mpaka akakugusa kwenye kola ya shati??wakati napanda daladala kuelekea mbagala kuna dada kagusa shati langu.
ilikuwaje mpaka akakugusa kwenye kola ya shati??
Unaweza kusema basi lilifunga breki ghafla akaniangukia shingoni ha ha ha....but busu lipo kimadaha dahhhh....mbona kingeeleweka siku hioHapo ukidanganya, au ukisema ukweli hakuna ahueni. All in all ukidanganya hautafika mbali utajichanganya tu!
Ntamwambia "..hata mimi ndio naona sasa hivi, sijui kilichotokea. Yaani kweli kama ningeona kitambo ningeacha tu bila hata kufanya maarifa yeyote? Hapa kuna mtu ana hila na ndoa yetu!"
usiogope mbona mambo madogo tu hayo kwan aliyekupaka hafai kuwa mke0 ??????????<button class="modal-btn modal-close js-close" type="button">Close </button>![]()
usiogope mbona mambo madogo tu hayo kwan aliyekupaka hafai kuwa mke0 ??????????