The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,060
Unaweza kusema basi lilifunga breki ghafla akaniangukia shingoni ha ha ha....but busu lipo kimadaha dahhhh....mbona kingeeleweka siku hio
Na kana kwamba haitoshi, lazima nika mshushie tsunami huyo aliyesababisha hayo yote, lazima atakua na makusudi tu! Hawezi niweka alama kwenye shati langu wakati anajua kabisa inaonekana kwa watu. Mwisho wa yote, kubaki kwenye njia kuu ndio jambo la busara.