Nitamuadhibu yupi?

Nitamuadhibu yupi?

Tareeq

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2010
Posts
828
Reaction score
408
Nimekuta sms kwa simu ya mama wa watoto imeandikwa hivi "NIAMBIE MY LOVE WANGU" mwandishi au mtumaji namtambua kwa nambar ya simu.

Namuuliza wife huyu anakuandikia hii sms ni nani na nini maana yake kwako? Hoja yake anasema je, unataka nikwambie kila anayenitongoza?

Nataka kutoa adhabu kwa mmoja wapo, nimuadhibu yupi?
 
Tatizo kubwa sisi wanaume tukiwa na wake zetu kiwanjani tunajifanya kucheza fair play! Wanawake wengi 90% ya wabaotoka nje ya ndoa wanafata foul na rough play huko wanakokwenda.

Ushauri! Do with your wife like you would do with a one off mchepuko!
 
Hujaoa, usikute ni kijaan tu muhuni muhuni
Haina aisee kabisa , na hii imeingia wakati ananionyesha picha za shughuli fulani za kifamilia so SIKIPIGI konzi wewe nishauri maana siku hizi kuuana kwa mamno haya ni kwingi nahitaji kupata yupi nimtie adabu siyo kumuua hapana ila punishment ni muhimu
 
Nimekuta sms kwa simu ya mama wa watoto imeandikwa hivi "NIAMBIE MY LOVE WANGU" mwandishi au mtumaji namtambua kwa nambar ya simu.

Namuuliza wife huyu anakuandikia hii sms ni nani na nini maana yake kwako? Hoja yake anasema je, unataka nikwambie kila anayenitongoza?

Nataka kutoa adhabu kwa mmoja wapo, nimuadhibu yupi?
Rudisha kwao hiyo mbuzi
 
Back
Top Bottom