econonist JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 22,138 Reaction score 32,716 Dec 21, 2024 #1 Baada ya Mh Mbowe kutangaza rasmi kuwa atagombea Uenyekiti wa chama, naahidi kumpigia kampeni Lissu mpaka ashinde. Na nikiona anafanyiwa figisu nitamshauri ajitoe awe mwanachama wa kawaida.
Baada ya Mh Mbowe kutangaza rasmi kuwa atagombea Uenyekiti wa chama, naahidi kumpigia kampeni Lissu mpaka ashinde. Na nikiona anafanyiwa figisu nitamshauri ajitoe awe mwanachama wa kawaida.
Fortilo JF-Expert Member Joined Apr 10, 2012 Posts 5,890 Reaction score 17,744 Dec 21, 2024 #2 Pambana Kamanda.. TL awe makini ... Labda ahamie ACT aingie bungeni.. ila mbele yake peusi sana.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 166,461 Reaction score 185,071 Dec 22, 2024 #3 Kila la kheri... Cc: Mahondaw