Nitampataje mume mwenye vigezo hivi?

Wasio kuwa na vigezo wamekuwa wakali kweli....l.o.l
ha ha ha ha ha,leo nimecheka sana,kila mtu ana kitu roho inapenda sasa kama mi sitaki mweusi,mnene,mfupi mwenye mashavu ka ya.............nifanyeje?

My brother,laters kidogo ngoja niwajibike!!! i hope jana imekwenda vizuri....we talk laters!! be good!
Hahaha haya bana, catch you laters
 
Mume mwema anatoka kwa bwana, hayo mavigezo siyo kitu kwenye ndoa. Unaweza ukapata mume mwenye hayo mavigezo yako halafu akawa "MZIGO" ndani ya nyumba. Mwombe Mungu wako atakupa MUME aliyekuandalia, ambaye anakidhi mahitaji yako

Ni ubeijing tu umewajaa wamama wa siku hizi toka lini mume akatafutwa mume ndio alipewa jukumu la kutafuta mke, usawa usawa usawa usawa! usawa my foot. Kuna siku tulitoka safari tukapata pancha wababa wacha waanze kutwambia haya usawa sasa wamama badilisheni tairi la gari tukabaki tumeshushuka shuuuuu. mume wako kama yuko atakuja tu wewe subiri na kama hayupo hayupo tu msilazimishe mambo
 
FP UNASTAHILI HII KITU HAPA CHINI
The Following User Says Thank You to Fixed Point For This Useful Post:

The Finest (Today)​

Asante sana TF, huyu dada naona yupo kwenye kuchagua mtu wa kutoka naye, siyo mume. Wenzie tulipiga magoti mpaka karibu tutoke sugu za magoti, kwa kuomba MUME MWEMA; sasa tunafaidi kwa raha zetu
 
Ni ubeijing tu umewajaa wamama wa siku hizi toka lini mume akatafutwa mume ndio alipewa jukumu la kutafuta mke, usawa usawa usawa usawa! usawa my foot. Kuna siku tulitoka safari tukapata pancha wababa wacha waanze kutwambia haya usawa sasa wamama badilisheni tairi la gari tukabaki tumeshushuka shuuuuu. mume wako kama yuko atakuja tu wewe subiri na kama hayupo hayupo tu msilazimishe mambo

Ndo maana nikamwambia aongee na Mungu wake. hata kama hatutafuti waume lakini tunapaswa kumwambia Mungu ni mume gani unapenda uwe naye, na tena yeye ni Mkrisu, for the rest of her life.
 
Asante sana TF, huyu dada naona yupo kwenye kuchagua mtu wa kutoka naye, siyo mume. Wenzie tulipiga magoti mpaka karibu tutoke sugu za magoti, kwa kuomba MUME MWEMA; sasa tunafaidi kwa raha zetu
Kuna vitu havihitaji short cut na moja wapo ya vitu hivyo ni kwenye kupata MUME/MKE tena hasa sisi wakristu ukifunga ndoa imetoka nimemwambia awe makini na amshirikishe Mungu kwenye maombi asitegemee hivyo vigezo ndio vitampa mume bora
 
Mume ushampata lakini ni PM umwage ur characteristics.
Vigezo vyote hivyo nimetimiza!!!

Wapendwa nawasalimu!!

1. Awe Mkirsto
2. awe mweupe
3. awe na feature ya maisha, kwani fedha hutafutwa
4. awe mrefu wa wastani
5. kuanzia miaka 30 kuendelea
 
Mmmmmh semeni yote lakini pamoja na tabia na vyote lazima mwanaume anivutie na nafsi yangu imkubali jinsi alivyo. Duu Fikiria mtu mrefuuu mi nikisimama kichwa changu kinafika kiononi kwake, au mi mrefuu akisimama kichwa chake kinakuwa kiononi, nikitaka kumhug sijui namrukia, daaaaaah!!
 
Kuna vitu havihitaji short cut na moja wapo ya vitu hivyo ni kwenye kupata MUME/MKE tena hasa sisi wakristu ukifunga ndoa imetoka nimemwambia awe makini na amshirikishe Mungu kwenye maombi asitegemee hivyo vigezo ndio vitampa mume bora

U r right TF, mume/mke ni zaidi ya physical appearance, hela etc. kuna vitu vingi sana vinatakiwa mume/mke awe navyo, ili muweze kuishi kwa raha kwenye ndoa.
 
All the best Suzy usichoke kufunga na kumuomba mungu akupe mme mwenye hizo sifa
Hakika yeye ni mwema ukiamini katika kweli hilo litatimia

FL1 huyo hataki kumshirikisha Mungu ndo maana kalileta hapa. angekuwa mtu wa kumshirikisha Mungu angefunga na kuomba kivyake na Mungu angemletea huyo MUME anayemtaka; wadada tunatafutaga waume? au mimi ndo mshamba?
 
Mmmmmh semeni yote lakini pamoja na tabia na vyote lazima mwanaume anivutie na nafsi yangu imkubali jinsi alivyo. Duu Fikiria mtu mrefuuu mi nikisimama kichwa changu kinafika kiononi kwake, au mi mrefuu akisimama kichwa chake kinakuwa kiononi, nikitaka kumhug sijui namrukia, daaaaaah!!
Mshiki hatukatai ila basi pamoja na yote hayo mtangulize Mungu kwenye maombi basi ili akupe mume wa namna hiyo ila kama ndio unajiamulia mwenyewe bila kuomba kuongozwa na Roho Mtakatifu ndio hapo unaangukia kwenye trash halafu mengine yanaanza kuwa ni historia hata mimi napenda kuwa na mwanamke wa aina fulani lakini basi mshirikishe pia Mungu basi ili aweze kukupatia yule unayemuhitaji wewe
 
Mmmmmh semeni yote lakini pamoja na tabia na vyote lazima mwanaume anivutie na nafsi yangu imkubali jinsi alivyo. Duu Fikiria mtu mrefuuu mi nikisimama kichwa changu kinafika kiononi kwake, au mi mrefuu akisimama kichwa chake kinakuwa kiononi, nikitaka kumhug sijui namrukia, daaaaaah!!

Hilo nalo neno LD, kwenye sala zako mwambie Mungu unataka mtu ambaye ukitaka kumu-hug hutumii nguvu, atasikiliza ombi lako
 
mimi ninavyo na zaidi ya hapo, kama na wewe una vigezo vifuatavyo basi tutafutane kwa email yangu mtumwamtumwa@yahoo.com.

1. uwe mrefu kiasi
2. mnene wastani mwenye shape namba 8 au inayoenda huko
3. mkristo unayeweza kuwa mkatoriki ikibidi
4. kiwango cha chini cha elimu iwe form 6
5. tabia nzuri
6. nitafurahi ukiwa maji ya kunde.
 
FL1 huyo hataki kumshirikisha Mungu ndo maana kalileta hapa. angekuwa mtu wa kumshirikisha Mungu angefunga na kuomba kivyake na Mungu angemletea huyo MUME anayemtaka; wadada tunatafutaga waume? au mimi ndo mshamba?
Labda siku hizi mambo yamebadilika sijui lakini
 
Mshiki hatukatai ila basi pamoja na yote hayo mtangulize Mungu kwenye maombi basi ili akupe mume wa namna hiyo ila kama ndio unajiamulia mwenyewe bila kuomba kuongozwa na Roho Mtakatifu ndio hapo unaangukia kwenye trash halafu mengine yanaanza kuwa ni historia hata mimi napenda kuwa na mwanamke wa aina fulani lakini basi mshirikishe pia Mungu basi ili aweze kukupatia yule unayemuhitaji wewe

Nakubaliana nawe kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa. Unastahili hii
The Following User Says Thank You to The Finest For This Useful Post:
Fixed Point (Today)

Umeshaoa TF, naweza kujitolea kufanya NOVENA kwa ajili yako kama bado unatafuta. Hakuna kitu kizuri kwa maisha kama kumpata mwenza mnayeelewana............. yaani siku unaziona zinaenda tuuuuuuuuuuuu, wala huna haja ya kuzifikiria
 
Nakubaliana nawe kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa. Unastahili hii
The Following User Says Thank You to The Finest For This Useful Post:
Fixed Point (Today)

Umeshaoa TF, naweza kujitolea kufanya NOVENA kwa ajili yako kama bado unatafuta. Hakuna kitu kizuri kwa maisha kama kumpata mwenza mnayeelewana............. yaani siku unaziona zinaenda tuuuuuuuuuuuu, wala huna haja ya kuzifikiria
Bado bado FP ndio tunaelekea huko, Novena ya siku 7 au 21? l.o.l
 
Wapendwa nawasalimu!!

Ninatumai kila mtu ana sifa za ama mke au mume anayemtaka, rafiki zangu wa JF, napenda sana nipate mume mwenye vigezo hivyo hapo nilivyovitaja lakini kila siku imekua kinyume kabisa na matarajio yangu.

1. Awe Mkirsto
2. awe mweupe
3. awe na feature ya maisha, kwani fedha hutafutwa
4. awe mrefu wa wastani
5. kuanzia miaka 30 kuendelea

Dada yangu alishawahi kunitania kuwa eti niwatongoze wale ninaowapenda na nikitu ambacho siwezi hata kujaribu kufanya. Jamani nisaidieni au ndio niendelee kusubiri ubavu wangu kutoka kwa Mungu?

Naombeni mawazo yenu, pengine nafikiri hadithi za kujenga magorofa hewani.

pole sana ndugu yangu mke au mume mwema ni mungu ndiye anayemleta anaweza akawa mfupi akawa ni bora sana na ukazaa watoto wakachukua urefu wa shangazi zao au wajomba pia anaweza kuwa mweusi akakuzalisha watoto wazuri wenye rangi ya bibi yao mzaa baba kwa hyo swala la mume muombe mungu usiwe na chaguo sana utazeekea nyumbani
 
Mshiki hatukatai ila basi pamoja na yote hayo mtangulize Mungu kwenye maombi basi ili akupe mume wa namna hiyo ila kama ndio unajiamulia mwenyewe bila kuomba kuongozwa na Roho Mtakatifu ndio hapo unaangukia kwenye trash halafu mengine yanaanza kuwa ni historia hata mimi napenda kuwa na mwanamke wa aina fulani lakini basi mshirikishe pia Mungu basi ili aweze kukupatia yule unayemuhitaji wewe

dah leo leo umeamka vizuri sana mpendwa kila mtu anatamani mke/mume wa aina fulani, ila jiulize je ni wangapi wamepata wale ambao wamekua wakiwaota? Mungu huyu muacheni tu aitwe mungu. Unastahili na hii tena

The Following 2 Users Say Thank You to The Finest For This Useful Post:

Maty (Today)
 
FL1 huyo hataki kumshirikisha Mungu ndo maana kalileta hapa. angekuwa mtu wa kumshirikisha Mungu angefunga na kuomba kivyake na Mungu angemletea huyo MUME anayemtaka; wadada tunatafutaga waume? au mimi ndo mshamba?

ajabu
 
Back
Top Bottom