The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Hahaha haya bana, catch you latersWasio kuwa na vigezo wamekuwa wakali kweli....l.o.l
ha ha ha ha ha,leo nimecheka sana,kila mtu ana kitu roho inapenda sasa kama mi sitaki mweusi,mnene,mfupi mwenye mashavu ka ya.............nifanyeje?
My brother,laters kidogo ngoja niwajibike!!! i hope jana imekwenda vizuri....we talk laters!! be good!