shabaan Dogo
Senior Member
- Apr 27, 2014
- 196
- 82
Naombeni kujua mapenzi ya kweli yanapatikana kwa njia gani au utajua vipi kuwa mwenzio anakupenda ukweli. Katika maisha haya nilipendana sana na dada mmoja nilimpenda kweli hadi siku 1 akaniambia Shab mwanzo nilikuona kama wakawaida sana lakini sas anaamini unanipenda, sijaona upendo kama huu.
Na mimi nitaulinda upendo wako. Tuliishi vzuri iku moja akaniambia Shab usiwe unapenda namna hii utaumia sana kweni kwa jinsi ninavyoona upendo wako mwanamke mwengina angekunyanyasa sana naomba ubadilike. Baada ya siku kadhaa nilitambua kua ni mke wa mtu. Niliumia sana na mapenzi yetu yaliishia hapo.
lakini hadi sasa ni miaka 5 bado na mkumbuka sana. Nimekaa miaka 3 bila kuwa na mpenzi. Mwaka jana nlikua na binti lakini nilimpenda na hata sasa nampenda lakini hatuna maelewano mazuri kwa jinsi anavyo taka kuniburuza kama mzoga kwasababu kagundua nampenda kweli. Nitampata wapi mwanamke mwenye mapenzi ya kweli na kulihifadhi pendo langu?Nani yupo niari kuupokea moyo wangu ?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Na mimi nitaulinda upendo wako. Tuliishi vzuri iku moja akaniambia Shab usiwe unapenda namna hii utaumia sana kweni kwa jinsi ninavyoona upendo wako mwanamke mwengina angekunyanyasa sana naomba ubadilike. Baada ya siku kadhaa nilitambua kua ni mke wa mtu. Niliumia sana na mapenzi yetu yaliishia hapo.
lakini hadi sasa ni miaka 5 bado na mkumbuka sana. Nimekaa miaka 3 bila kuwa na mpenzi. Mwaka jana nlikua na binti lakini nilimpenda na hata sasa nampenda lakini hatuna maelewano mazuri kwa jinsi anavyo taka kuniburuza kama mzoga kwasababu kagundua nampenda kweli. Nitampata wapi mwanamke mwenye mapenzi ya kweli na kulihifadhi pendo langu?Nani yupo niari kuupokea moyo wangu ?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums