Tafuta hela, yani hela tu...kila mtu ni mpenzi wa kweli
na Mimi nikuulize, mapenzi ya kweli yakoje? kama unayajua, utampata mwenye hayo mapenz ya kweli, but kama huyajui endelea kutoyajua ndo utaishi nao kwa aman hao wenye mapenz ya kweli(kama bado wapo lakin)