Hahahaha nafuta kauli.
:llama::A S 11:
wenzangu kina nani?wote watu wazima,mkuu kama huna la kuchangia ww pita,maana baada ya kuachana na Huyu MTU sijawahi kuonana nae,now tumemaliza field na sio kila anaesoma ni pupils hope umeelewa,naamini kuna waliopitia situation kama yangu watanipa mbinu
MY EX!!!!! hivi sku hizi hata shuleni watu wanaowana na kuachana?!!..kaazi kwelikweli.
nadhani huyu si wakwanza..jaribu kumsahau kama hawa wawili ulivyowasahau...
[h=3]Wapendwa naomba jibu[/h] Started by EPORA, 9th April 2012 18:13
[h=3]Niliachwa kisa elfu sitini[/h] Started by EPORA, 10th June 2014 16:36
wewe kama mkristo kuwa na imani yote utayashinda katika yeye akutiaye nguvu...be at peace with yourself and let it go....
pole sana,unaweza kuja tu kwangu