Habari wakuu,
Ni miezi zaidi ya mitano tangu niachwe, nimeumia hadi nimekuwa sugu, kinachonileta kwenu ni hiki, wiki moja baada ya kuachwa kabla hatujaenda kwenye research my x alinambia eti kuna mwanamke anamtaka afanyeje?
Nilichukia sana nikamjibu mkubalie, akadai nitamcheka , ninachoomba ushauri ni VP nitamkwepa huyu maana nasoma nae kozi moja na darasa moja, kwa sasa hatuna mawasiliano yoyote maana najua ana MTU japo simjui.
Kuna kipindi tushapangwa kuwasilisha mada ila tulikuwa hatujaachana, wajuzi tafadhali maana tutakuwa wote kwenye vipindi kwa miezi saba na darasani tupo sabini nataka nifaulu plz nipeni mbinu.
Ni miezi zaidi ya mitano tangu niachwe, nimeumia hadi nimekuwa sugu, kinachonileta kwenu ni hiki, wiki moja baada ya kuachwa kabla hatujaenda kwenye research my x alinambia eti kuna mwanamke anamtaka afanyeje?
Nilichukia sana nikamjibu mkubalie, akadai nitamcheka , ninachoomba ushauri ni VP nitamkwepa huyu maana nasoma nae kozi moja na darasa moja, kwa sasa hatuna mawasiliano yoyote maana najua ana MTU japo simjui.
Kuna kipindi tushapangwa kuwasilisha mada ila tulikuwa hatujaachana, wajuzi tafadhali maana tutakuwa wote kwenye vipindi kwa miezi saba na darasani tupo sabini nataka nifaulu plz nipeni mbinu.