Nitakinukisha, NItakinukisha, Nitakinukisha, Nitafanya Uasi, No Reforms No Elections, Kiko Wapi?

Nitakinukisha, NItakinukisha, Nitakinukisha, Nitafanya Uasi, No Reforms No Elections, Kiko Wapi?

Soka Ndio Maisha Yangu

Senior Member
Joined
Nov 27, 2024
Posts
110
Reaction score
377
Mtafuteni Prince Bagenda anajua vizuri historia ya vyama vingi hapa nchini, masuala yanayohusu usalama wa nchi hayawezi kugeuzwa kwa namna ya kisiasa halafu watawala wakakaa kimya, Mimi ningeshangaa sana, unapita Kila Wilaya mwenyewe unajiua unapendwa, unachonganisha watu na serikali, Leo umepeleka wanawake mahakamani wakuombee wakati Mungu hasikilizi Wala kupokea maombi ya watu waliokuwa uchi, watu hata kuoga janaba hawajui, Mungu Gani huyo.

Oktoba Tunatikiiiiiiiiiiiiii
 
Mtafuteni Prince Bagenda anajua vizuri historia ya vyama vingi hapa nchini, masuala yanayohusu usalama wa nchi hayawezi kugeuzwa kwa namna ya kisiasa halafu watawala wakakaa kimya, Mimi ningeshangaa sana, unapita Kila Wilaya mwenyewe unajiua unapendwa, unachonganisha watu na serikali, Leo umepeleka wanawake mahakamani wakuombee wakati Mungu hasikilizi Wala kupokea maombi ya watu waliokuwa uchi, watu hata kuoga janaba hawajui, Mungu Gani huyo.

Oktoba Tunatikiiiiiiiiiiiiii
Aacha umbea mtoto wa kiume!
 
Mtafuteni Prince Bagenda anajua vizuri historia ya vyama vingi hapa nchini, masuala yanayohusu usalama wa nchi hayawezi kugeuzwa kwa namna ya kisiasa halafu watawala wakakaa kimya, Mimi ningeshangaa sana, unapita Kila Wilaya mwenyewe unajiua unapendwa, unachonganisha watu na serikali, Leo umepeleka wanawake mahakamani wakuombee wakati Mungu hasikilizi Wala kupokea maombi ya watu waliokuwa uchi, watu hata kuoga janaba hawajui, Mungu Gani huyo.

Oktoba Tunatikiiiiiiiiiiiiii

Zingatia NRNE inamlaza mama flani na viatu daily!
 
Mtafuteni Prince Bagenda anajua vizuri historia ya vyama vingi hapa nchini, masuala yanayohusu usalama wa nchi hayawezi kugeuzwa kwa namna ya kisiasa halafu watawala wakakaa kimya, Mimi ningeshangaa sana, unapita Kila Wilaya mwenyewe unajiua unapendwa, unachonganisha watu na serikali, Leo umepeleka wanawake mahakamani wakuombee wakati Mungu hasikilizi Wala kupokea maombi ya watu waliokuwa uchi, watu hata kuoga janaba hawajui, Mungu Gani huyo.

Oktoba Tunatikiiiiiiiiiiiii🖕🏽
 
Mtafuteni Prince Bagenda anajua vizuri historia ya vyama vingi hapa nchini, masuala yanayohusu usalama wa nchi hayawezi kugeuzwa kwa namna ya kisiasa halafu watawala wakakaa kimya, Mimi ningeshangaa sana, unapita Kila Wilaya mwenyewe unajiua unapendwa, unachonganisha watu na serikali, Leo umepeleka wanawake mahakamani wakuombee wakati Mungu hasikilizi Wala kupokea maombi ya watu waliokuwa uchi, watu hata kuoga janaba hawajui, Mungu Gani huyo.

Oktoba Tunatikiiiiiiiiiiiiii
kaidi mjeuri mropokaji asie tii mamlaka za dunia zilizowekwa na Mungu, hawezi kamwe kumuheshimu Mungu.

Kumuombea ni unafiki mtupu 🐒
 
kaidi mjeuri mropokaji asie tii mamlaka za dunia zilizowekwa na Mungu, hawezi kamwe kumuheshimu Mungu.

Kumuombea ni unafiki mtupu 🐒
Kheri amtegemea Mungu kuliko mwanadamu aonaye binadamu mwenzie ndio msaadacwake.
 
Shetani ana watu wengi sana, we jiulize, ccm wote walee
Mpaka huyu aliyeandika huu upuuzi naye ni mfuasi wa ccm ambao sasa ndiyo mashetani
 
Mtafuteni Prince Bagenda anajua vizuri historia ya vyama vingi hapa nchini, masuala yanayohusu usalama wa nchi hayawezi kugeuzwa kwa namna ya kisiasa halafu watawala wakakaa kimya, Mimi ningeshangaa sana, unapita Kila Wilaya mwenyewe unajiua unapendwa, unachonganisha watu na serikali, Leo umepeleka wanawake mahakamani wakuombee wakati Mungu hasikilizi Wala kupokea maombi ya watu waliokuwa uchi, watu hata kuoga janaba hawajui, Mungu Gani huyo.

Oktoba Tunatikiiiiiiiiiiiiii
Oktoba tunatiki
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Mtafuteni Prince Bagenda anajua vizuri historia ya vyama vingi hapa nchini, masuala yanayohusu usalama wa nchi hayawezi kugeuzwa kwa namna ya kisiasa halafu watawala wakakaa kimya, Mimi ningeshangaa sana, unapita Kila Wilaya mwenyewe unajiua unapendwa, unachonganisha watu na serikali, Leo umepeleka wanawake mahakamani wakuombee wakati Mungu hasikilizi Wala kupokea maombi ya watu waliokuwa uchi, watu hata kuoga janaba hawajui, Mungu Gani huyo.

Oktoba Tunatikiiiiiiiiiiiiii
Hizi ni tabia za mtu anayepapaswa .
 
Mtafuteni Prince Bagenda anajua vizuri historia ya vyama vingi hapa nchini, masuala yanayohusu usalama wa nchi hayawezi kugeuzwa kwa namna ya kisiasa halafu watawala wakakaa kimya, Mimi ningeshangaa sana, unapita Kila Wilaya mwenyewe unajiua unapendwa, unachonganisha watu na serikali, Leo umepeleka wanawake mahakamani wakuombee wakati Mungu hasikilizi Wala kupokea maombi ya watu waliokuwa uchi, watu hata kuoga janaba hawajui, Mungu Gani huyo.

Oktoba Tunatikiiiiiiiiiiiiii
Jamaa unachengwa na fisimaji!
 
kaidi mjeuri mropokaji asie tii mamlaka za dunia zilizowekwa na Mungu, hawezi kamwe kumuheshimu Mungu.

Kumuombea ni unafiki mtupu 🐒
:BoneZone: :BoneZone: :BoneZone: naona unawauzia "UWOGA" watumwa na misukule ya Taifa,,, hisia zitawajaa wataanza kuropoka...
Wanasiasa watu hatari sana... 😄😄😄
 
:BoneZone: :BoneZone: :BoneZone: naona unawauzia "UWOGA" watumwa na misukule ya Taifa,,, hisia zitawajaa wataanza kuropoka...
Wanasiasa watu hatari sana... 😄😄😄
ni unafiki,
mchoma vitenge wa BAWACHA hawezi kumuombea kaidi mwenye kiburi na mropokaji kama Lisu na maombi yakaskizwa, in fact itakua ni makelele tu gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom