Yes likiisha litapunguza ughali wa kusafirisha mizigo na watu kutoka/kwenda sehemu mbali mbali za nchi yetu
Soma zaidi: Kigamboni bridge to be ready in 36 months
An architectural impression of the Kigamboni bridge
Yes likiisha litapunguza ughali wa kusafirisha mizigo na watu kutoka/kwenda sehemu mbali mbali za nchi yetu
Ni rais aliyejenga shule za sekondari nyingi hadi katika miji ya Waisilamu kuliko maraisi wote waliyomtangulia.
Kwa hiyo aliyepewa sifa hastahili!ESTABLISHMENT:
The University of Dodoma was formaly established in March 2007 following the signing of the charter by the president of United republic of Tanzania. The first academic programmes commenced in september 2007.
The University has been designed on a campus college mode each of which will be semi autonomous. In its structure, six colleges are envisaged when the university if fully established by 2012/13. There are:
- College of Education
- College fo Hummanities and Social Sciences
- College of Informatics and Virtual Education
- College of Natural Sciences and Mathematics
- College of Health and Allied Sciences
- College of Earth Sciences
UDOM initially started with four schools, namely Education, Hummanities, Social Sciences and informatics. Currently three colleges and two schools are Operational. These are College of Education, Hummanities and Social Sciences, and College of Informatics and Virtual Education. In addition there are four chools on transition to Campus College. These are School of Natural Sciences and mathematics, on transition to College of Natural Sciences and Mathematics; School of Medicine and Nursing on transition to College of Health and Allied Sciences; and School of Mines and Petroleum to College of Earth Sciences.
Source: The University of Dodoma
Nitamkumbuka kama rais wetu aliyefanya mambo makubwa kuliko wote waliomtangulia
1.Chuo kikuu dom hakuna mfano wake africa
2.kupandisha mishahara ya wafanyakazi
3.Sekondari kata zote nchini hakuna tena wasichana kuchukuliwa uhousgirl wote shule
4.Zahanati kila kijiji hadi 2015 vijiji vyote vina zahanati
6.uhuru wa vyombo vya habari
7.Hajafanya biashara yeyote full time yuko kuhudumia wananchi
8kapambana na mafisadi kwa uthubutu wa kipekee ambao wenzie uliwashinda(CAG,PCCB nk nk)
9.Kaboresha jeshi la polisi maslahi yao na vitendea kazi(magari VX kwa rpc,hardtop za kumwaga,deffender,majengo ya kisasa askari wanamudu maisha sasa hadi wameeza kununua magari)
10.Barabara kajenga nyiiingiii hadi 2015 zitakuwa zimekamilika
11---- ni mengi mengi mazuri tatizo ushabiki wa siasa za kizamani zisizokuwa na tija yeyote ndo mnaandika msiyoyajua hamna hata shukurani nyie wala moyo wa kusifia mazuri mnasikitisha sana kumbukeni mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
Ulitaka atumie fedha za nani? hivi ulikwenda NSSF kudai mafao yako ukaambiwa hakuna.
Rais anayetumia sana TISS ili aendelee kubaki madarakani ingawa kwa majuto!
Soma zaidi: Kigamboni bridge to be ready in 36 months
An architectural impression of the Kigamboni bridge
Rais aliyejenga chuo kikuu kikubwa Afrika Mashariki na ya Kati, Hii ni college of education pekee, chuo kizima hakiingii kwenye picha moja:
Raisi hasiyejua idadi ya wanae...
Kwa hiyo aliyepewa sifa hastahili!
Na hiyo Kigamboni City ilipigwa picha na nani? Huelewi maana ya concept pictures na photography. Tatizo lako ni elimu, hivi mnafikiri kuelimika ni kukaa kwenye hizo kuta nne tu? humo mnajazwa ujinga bila kujijuwa.