Habarini,jamani nilinunua kiroba cha mchele sehemu nayoiamini kabisa ila cha kushangaza nao ni plastic vile vile.
Nkidunda yani unadundika,msaada kwa anaejua jinsi ya kuangalia mchele wa plastic kabla sijaununua(ukiwa ndani ya kiroba)..Maana ni tabu kweli kweli.
Nkidunda yani unadundika,msaada kwa anaejua jinsi ya kuangalia mchele wa plastic kabla sijaununua(ukiwa ndani ya kiroba)..Maana ni tabu kweli kweli.