technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,555
- 57,850
Nitajiunga na CCM endapo Simba watashinda mechi ya leo bila kubebwa na marefa sioni beki za kuwazuia washambuliaji wa Yanga wasipate matokeo gemu ya leo.
Kunywa gongo tu mkuuWakishinda Yanga mimi nitaacha bia rasmi kuanzia leo
Mjuba anza kunywa fanta orange kuanzia leo.Wakishinda Yanga mimi nitaacha bia rasmi kuanzia leo
Wakishinda Yanga mimi nitaacha bia rasmi kuanzia leo

Teh tehWakishinda Yanga mimi nitaacha bia rasmi kuanzia leo
Hahahah nitaanza kupiga wine tu sa ivi. Kuna mitimu sio ya kuidhamini kabisa naanza kukosa Tusker zangu hivi hiviMjuba anza kunywa fanta orange kuanzia leo.